Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 585
- 906
Lowasa Aache haya mambo ya Kukutana na makundi makundi asije kuanza kujenga mtandao wake upya, kwa sasa Tunatekeleza Ilani. Asitukwamishe
Ni watu gani hao mkuu.. Ebu tujuzeHilo ndio tatizo. Mmefocus kuibomoa chadema.. but mnasahau.. ni watu wawili tu ambao wameshikilia upinzan nchi hii.
Na si mbowe. Na hao watu huwa hamwagusi.. huwa mnawakwepa sana.. kwann?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ofisi yake binafsi hata alipokuwa Chadema alikanyaga Ufipa mara moja, akina Mbowe shida zao walikuwa wanazipeleka mikocheni!hiyo ofisi ya EL inahusika na nini?
Kuhamasisha ukusanyaji wa kodi, kwa mujibu wa muanzisha uzi alipoongelea sababu ya kutembelewa kwa Lowassa.hiyo ofisi ya EL inahusika na nini?
hiyo ofisi ya EL inahusika na nini?
Nimeipenda hii.Nitachangia kikwaresmakwaresma ili nisiharibu Saumu yangu.....Kisha shetani akamwambia Yesu 'Nitakupa falme zote hizi za dunia ukinisujudia' mwisho wa kunukuu.
Mimi binafsi Nam mind sanaHuyo Mzee Ni msanii hapo bado wachungaji,wafugaji,bodaboda,mashehe na wanafunzi wa vyuo wataenda kumuomba awatembelee
Ikisha bomoka wewe binafsi utanufaika na nini?KAZI INAENDELEA LAZIMA CHADEMA IBOMOKE TU
Wasukuma wanaanza kujipendekeza kwa wa Kaskazini.hahaha, inafurahisha, nakumbuka kwenye kampeni yule jamaa wa mwanza alitoa shairi lake ati anaharisha atawaletea kipindu pindu, nilihuzunika sana, mtu huwezi ropoka vile kwani hujui kesho yake, ona sasa, hawa hawa wa mwanza ndio waliomtukana sana kwenye kampeni, tena matusi ya dhihaki na dhihaka, daah aisee,
Kujadili namna na kupiga (Mambo yetu yaleeee) si unajua tena ana utaalamu wake.hiyo ofisi ya EL inahusika na nini?
Huyo ameshawatieni dole hamna ujanja.Lowasa Aache haya mambo ya Kukutana na makundi makundi asije kuanza kujenga mtandao wake upya, kwa sasa Tunatekeleza Ilani. Asitukwamishe
Chai bila maziwa? Hivi vyuma imeshakuwa taaabuuSiku chache baada ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa kutangaza kurudi Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kukaa ndani ya upinzani kwa takribani siku 1312 kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kiongozi huyo ameanza kupewa fursa.
Lowassa akiwa a baadhi ya madiwani Halmashauri ya MaguFursa ambayo kiongozi huyo ameipata ni kutembelewa na madiwani kutoka Halmashauri ya Magu mkoani Mwanza ambao walifika ofisini kwake Mikocheni Dar es salaam kwa ajili ya kumuomba kutembelea halmashauri hiyo.
Wakizungumza mbele ya kiongozi huyo, Madiwani walimuomba Lowassa kutembelea Jiji la Mwanza baada ya uamuzi wake wa kurejea chama tawala ikiwa pamoja na kuhamasisha hali ya ukusanyaji wa mapato kwenye jiji hilo.
Wakati akipokelewa na uongozi mkuu wa CCM, Marchi 1, 2019 Lowassa mwenyewe hakubainisha nini sababu ya kurejea CCM, bali aliishia kusema kuwa amerudi nyumbani.