MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
"Mtupa ganda la ndizi husahau lakini anayelikanyaga hasau".Lowasa is very intelligent politically.
Now anataka kutumia mtaji wa vijana. Kama mwanasiasa anataka tuamni kuwa yuko very concened na "vijana".
VIpi Kuhusu wazee amabao walitumikia serikali na makampuni binafsi na pension zao wanazopata sasa wanaishi maisha ya ajabu. Au sababu wazee hawana uwezo wa kurusha mawe.
Labda walio karibu yake wamuulize hilo bomu la ajira kwa vijana limeanza hasa kutengenzwa mwaka gani?
Ikiwa Lowasa amesahau alivyochangia kuiuza nchi, kuifisidi na kuifakirisha, wananchi hatusahau. Mwacheni aimbe, ruhsa!