Ukosefu wa ajira kwa Vijana: Lowassa atabiri vita Tanzania...

kuna msaa 24 tangu kwa raii hadi kwa mkulima wa mwisho nchii hi ..ila kwa sasa lowasa inaonekana anayarumia masaa 24 vizuri sana.......anajua kucheza na wakati kweli...mwezi ujao namualika kwenye uzinduzi wa ujenzi wa kibanda changu
 
Lowasa anajaribu kwa njia isiyo ya wazi kutuambia yeye ana dawa ya kutatua matatizo yanayotuzunguka vijana. Huyu jamaa mimi binafsi sina imani naye ingawa anayoongea yana mantiki. Mbona hata JK alikuwa na sera za aina hiyo hiyo? Huyu jamaa ni opportunist na tukimpa dola atashughulikia maslahi ya wafanya deal wenzake na kutusahau

Mkuu,

I have lost faith in a political system yote maana imejaa corrupt bureucrats. Hakuna hata mmoja mzalendo but alichokifanya Lowassa ni ujasiri kusema ukweli kuwa we have a problem. Waandishi wa habari magazetini wanayaandika kila siku masuala haya but hatujishughulishi kuyasoma.
 
Kiongozi huyo ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika harambee hiyo iliyokusanya sh. milioni 200 na kuvuka lengo la sh. milioni 120, alisema kwa sasa tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana hapa Tanzania limefikia zaidi ya asilimia 30, ikilinganishwa na wastani wa asilimia 21 wa tatizo hilo linalozikumba nchi zote za Bara la Afrika.
Jamani tuache masikhara! Huyu mzee anakubalika.Toka 120 hadi 200mil. simchezo! Asante kanisa r.c kuvuka lengo
 
Mkuu sio hilo tu, ebu angalia huyo kiongozi wa dini anavyotukana wale wote wanaonyoshea watu vidole (mtu mmoja mmoja) na anavyopindisha neno la mungu just kumfagilia mamvi !!

I believe this is calculated move, kwa sababu sitaki kuamini kuwa bila EL kuwepo wasingevuka lengo (si ajabu michango mingine kaitoa yy kwa watu wake ili waje wachange...). We know this chap, we know his grasroot organizers in UK, US ect. I guess bomu jingine ni yy, km wakimtosa sijui itakuwaje...!!
 
Huu ni upuuzi,upuuzi mtupu! Mimi ni mkatoliki lakini hii haivumilki! Kanisa lisipobatilisha haya litakuwa limeoza!! Watu wanataka tuone adui wa yote haya ni JK tu,wanataka tumuone Jk kama shetani! Haikubaliki tunajua matatizo yetu ya msingi pamoja na JK kuchangia lakini sasa wanataka kututumia kuhalalisha dhambi zao!! Sisi sio wapuuzi!! Wanatuvuruga hawa!

Halafu kama vile unajua kuwa kuna watu wa dini nyingine ile. Wanacheki wanaona ah mbona kanisa linamkandia sana Kikwete wakati linaiva sana na Lowassa? Au kwa vile Jk ni si mkatoliki? Na kumbuka watu wale wa dini nyingine wana msamiati wanauita mfumokristo (usiniulize), sasa wakicheki situation kama hii yaani hapo ndo kabisa wanapata uhakika kuwa kumbe mfumokristo ni kweli....

Hii hali haipaswi kunyamaziwa na waumini wakatoliki wa Tanzania. Ni upuuzi kabisa kanisa kubwa hili lenye vyuo vikuu, hospitali na hospitali za rufaa, lenye maintellectual wakubwa tu wakiwemo Nyerere mwenyewe, lije liharibiwe na mtu mmoja mpenda fedha baba askofu katoliki nyakato.
 
Watu kama Mwalimu ni wachache africa....Na ndio tunawatafuta.Nasema hiyo ya kungatuka ni ndoto kwa kweli...

Watu wa hadhi ya mwalimu waliisha kwisha ...............naamini hivyo kamasivyo system zilizopo sasa zinawaweka pembeni kwani zimekaa kimaslahi zaidi

Afu JK hawezi kukiona cha mtema kuni kwani yeye anatutuma sisi wananchi kutema hizo kuni hivyo wananchi tutakiona cha mtema kuni..........
 
anaweza kununuliwa mtu si kanisa ndio maana nasema kanisa lisipotengua haya limeoza! Najua now TEC panachimbika!!
 
Lowassa ni mnafiki tu. Alipokuwa Waziri Mkuu alitengeneza ajira ngapi za vijana? Na alipokuwa waziri kwenye serikali ya Mkapa nini ulikuwa mchango wake kwa tatizo la ajira za vijana? Kwanza yeye ameliingiza taifa kwenye mkenge wa Richmond/Dowans na sasa taifa linatakiwa kulipa bilioni 70/- kwa swahiba wake Rostam Aziz. Hizi pesa zinazoibwa na Richmond/Dowans si zingesaidia kutengeneza ajira za vijana?

Lowassa aache unafiki. Kwanza imefika muda tuache sasa kumzungumzia huyu mwanasiasa gamba aliyelazimika kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond. Wana JF wengi wako obsessed na Lowassa and other personalities. Lets stop this BS ya kujadili watu, tujadili issues. Tanzania inatimiza miaka 50 ya uhuru, kwa nini ni masikini wa kutupwa wakati ina utajiri mkubwa wa rasiliamali? Hizi ndio hoja za kujadili, si fisadi Lowassa kila siku!
 
Hiki kipande ni kwa mujibu wa World Bank...Yani nusu ya wananchi wa Tanzania ni miaka 15 ama chini...Tuliona picha za kule Mbeya jinsi ambavyo asilimia kubwa ya waliokuwa front lines na chupa za maji nk ni vijana wenye kati ya umri huo...

Kuanzia sasa,na miaka mitano ijayo pandora box litafunguka na mshike mshike lazima iwepo given un equal distribution of wealth.Tena huku serikali ikimilikiwa na watu binafsi...Tuombe uzima mtaona...Hizi ni data za 2010!

A high population growth poses asignificant challenge. Roughly half of Tanzania's population is 15 years or younger, which raises the dependency burden, and creates additional unmetdemand for youth employment.High levels ofpopulation growth also imply increased demands for social services in thefuture. This is especially true for the urban areas where a rapid influx ofpeople increases the stress on institutions already struggling to cope withdelivery of basic services such as sewerage, clean water, schools, and healthcare.
Halafu kingine cha ajabu sijawahi kuona unemployement rate ya Tanzania...Economy indicator ya muhimu tu ambayo sisi hatuaitambui.
 
Tangu ajue kutembea kwa mikogo ili weakness ya upande mmoja iliyotokana na stroke aliyopata isionekane,
kaanza kuonekana tena in public.... Badala ya kutulia kucheza na wajukuu apunguze stress.

Sasa mwache ajipe mistress,... stroke ikipiga tena hata kuinuka atakua hawezi na ndoto zote kwishnei!
 
Alichokifanya Lowassa ni kitendo cha ujasiri kuwazindua watanganyika kuna matatizo ambayo yakiachiwa yanaweza kuleta machafuko siku za mbeleni.

Unemployment especially youth unemployment, social marginalisation especially for muslims, the gap between rich and poor and finally corruption are key factors zitakazochangia kuleta machafuko nchini kama viongozi wetu hawajachukua hatua madhubuti kutatua.

Huo utabakia ukweli mkuu tena kwa mujibu wa tafiti nyingi zinazofanyika nchini.

Lowassa mnafiki tu. Hizo bilioni 70/- za ufisadi wa Richmond/Dowans ambao Lowassa kaliingiza taifa mbona zingetengeneza ajira nyingi sana za vijana.
 
Hiki kipande ni kwa mujibu wa World Bank...Yani nusu ya wananchi wa Tanzania ni miaka 15 ama chini...Tuliona picha za kule Mbeya jinsi ambavyo asilimia kubwa ya waliokuwa front lines na chupa za maji nk ni vijana wenye kati ya umri huo...

Kuanzia sasa,na miaka mitano ijayo pandora box litafunguka na mshike mshike lazima iwepo given un equal distribution of wealth.Tena huku serikali ikimilikiwa na watu binafsi...Tuombe uzima mtaona...Hizi ni data za 2010!

Halafu kingine cha ajabu sijawahi kuona unemployement rate ya Tanzania...Economy indicator ya muhimu tu ambayo sisi hatuaitambui.

Kuna mkutano moja wa kimataifa ulifanyika na kuhudhuriwa na wawakilishi wa wizara ya kazi. Jamaa walikuwa wanawakilishi matokeo ya utafiti wao nikawa napigwa butwaa na findings zao. Jumla ya vijana wanaomaliza shule kuanzia primary, secondary na vyuo vikuu only 3% of the population ndio wanaajiriwa kila mwaka. Inamaanisha 97% YA VIJANA HAWANA KAZI Hii figure ni hatari sana na inatisha. Hebu jisomee mwenyewe power point presentation ya watafiti hao katika link hapo chini.

http://info.worldbank.org/etools/docs/library/135839/Tanzania.pdf
 
In all my entire life and to all my kins i shall never accept E.L in any way to death...may the merciful Lord forgive me either

Nakumbuka baba wa Taifa alimzuia huyu jamaa ya kuwa 'haufai'kuwa rais alafu leo apate consent yangu?ya watanzania?hivi ni kweli nje yake Tanzania haina mtu hata mmoja wa kutufaa kuwa rais mpaka awe Lowassa?is this a puzzling to you fellow Tanzanians?

Hata kwa umaskini wa aina gani haiji kuwa,ni bora arudi Ben lakini si mwizi huyu
 
baada ya hili, najua j.k hana uwezo wa ku-retaliate
atakuja Riz-1 ama wenzake wa uvccm
 
Invisible,

Watanzania ni watu wa ajabu sana na naweza kukuhakikishia hakuna msafi. Hivyo Lowassa hana tofauti na watanzania wengi. Rostam na Lowassa wametukanwa mafisadi lakini Symbion inamezewa mate. Akina Mwakyembe wanajiita wapambanaji lakini wakipewa uwaziri huwasikii tena. Chadema wanajifanya wapambanaji wa ufisadi lakini wao ndio wa kwanza kupeleka muswada bungeni wa kuomba maposho zaidi. Waadilifu ni wachache sana Tanzania kila mmoja ni mchumia tumbo tu usijiumize kichwa mkuu. Tumejaa unafiki na uongo ndio maana tunadharaulika na hata majirani zetu na jumuiya ya kimataifa.

so what? Kama huna cha kuchangia tafadhali kaa pemben usitukatishe tamaa kwa mitazamo yako ya ajabu
 
Back
Top Bottom