OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Lowasaaaaaaaaaaaaaaa edooooooooo,prezdaaaaaaaaa ajaye.
Wanabodi, hii nimeitoa kule Globu ya Jamii!.
MONDAY, OCTOBER 01, 2012
[h=1]MH LOWASSA ASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA WILAYA YA MONDULI[/h]
Mh Lowassa akizungumza na kuwashukuru wapiga kura wake waliompatia ushindi wa kishindo
Waziri mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,mh. Edward Lowassa akipongezwa mara baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya Wilaya ya Monduli uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha ualimu Monduli,Mh Lowassa ameshinda kwa kishindo kwa kuwabwaga wapinzani wake kwa idadi ya kura 709,mpinzani mwingine ameta kura 44 na mshindi mwingine aliibuka na kura 7.
Waziri mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,mh. Edward Lowassa akipongezwa mara baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya Wilaya ya Monduli uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha ualimu Monduli,Mh Lowassa ameshinda kwa kishindo kwa kuwabwaga wapinzani wake kwa idadi ya kura 709,mpinzani mwingine amepata kura 44 na mshindi mwingine aliibuka na kura 7.
MY TAKE!.
BAADA YA JK KUMPIGA PANGA MKONO, NILIAMINI SASA JK SIO DHAIFU TENA, HIVYO ANAYEFUATIA NI EDWARD LOWASSA ILI KUMSAFISHIA MEMBE NJIA NYEUPE YA 2015!.
NAKIRI, I WAS WRONG, SIO NILIMU UNDERESTMATE LOWASSA, BALI NILI MUO OVER ESTIMATE JK!.
KWA MATOKEO HAYO, KUBALINI, KATAENI, MSHINDI WA URAIS 2015 NI CCM!, NA RAIS WA 2015 NI EDWARD LOWASSA!.
NB. KUNA BILIONI 400 "SAFETY NET" KWA WAPIGA KURA WA 2015!. BAADA YA KUJENGEWA DARAJA LA KIGAMBONI, MABARABARA YA JUU NA CHINI!, HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU BURE!, SASA FAMILIA MASIKINI ZITAGAWIWA RUZUKU YA KUONDOA UMASIKINI!, 2015 NANI ATATHUBUTU KUIVOTE OUT CCM?, KWA VIGEZO GANI?.
HONGERA LOWASSA!, HONGERA CCM!.
Pasco!.
NB: Naendelea kusisitiza Pasco wa jf, sio mwanachama, mfuasi, wala mshabiki wa chama chochote!. Sasa wale mnaoamini kuwa Pasco wa jf ni mshabiki wa CCM, endeleeni kuamini hivyo, if that will make you happy!.
Wanabodi, hii nimeitoa kule Globu ya Jamii!.
MONDAY, OCTOBER 01, 2012
MH LOWASSA ASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA WILAYA YA MONDULI
Mh Lowassa akizungumza na kuwashukuru wapiga kura wake waliompatia ushindi wa kishindo
Waziri mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,mh. Edward Lowassa akipongezwa mara baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya Wilaya ya Monduli uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha ualimu Monduli,Mh Lowassa ameshinda kwa kishindo kwa kuwabwaga wapinzani wake kwa idadi ya kura 709,mpinzani mwingine ameta kura 44 na mshindi mwingine aliibuka na kura 7.
Waziri mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,mh. Edward Lowassa akipongezwa mara baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya Wilaya ya Monduli uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha ualimu Monduli,Mh Lowassa ameshinda kwa kishindo kwa kuwabwaga wapinzani wake kwa idadi ya kura 709,mpinzani mwingine amepata kura 44 na mshindi mwingine aliibuka na kura 7.
MY TAKE!.
BAADA YA JK KUMPIGA PANGA MKONO, NILIAMINI SASA JK SIO DHAIFU TENA, HIVYO ANAYEFUATIA NI EDWARD LOWASSA ILI KUMSAFISHIA MEMBE NJIA NYEUPE YA 2015!.
NAKIRI, I WAS WRONG, SIO NILIMU UNDERESTMATE LOWASSA, BALI NILI MUO OVER ESTIMATE JK!.
KWA MATOKEO HAYO, KUBALINI, KATAENI, MSHINDI WA URAIS 2015 NI CCM!, NA RAIS WA 2015 NI EDWARD LOWASSA!.
NB. KUNA BILIONI 400 "SAFETY NET" KWA WAPIGA KURA WA 2015!. BAADA YA KUJENGEWA DARAJA LA KIGAMBONI, MABARABARA YA JUU NA CHINI!, HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU BURE!, SASA FAMILIA MASIKINI ZITAGAWIWA RUZUKU YA KUONDOA UMASIKINI!, 2015 NANI ATATHUBUTU KUIVOTE OUT CCM?, KWA VIGEZO GANI?.
HONGERA LOWASSA!, HONGERA CCM!.
Pasco!.
NB: Naendelea kusisitiza Pasco wa jf, sio mwanachama, mfuasi, wala mshabiki wa chama chochote!. Sasa wale mnaoamini kuwa Pasco wa jf ni mshabiki wa CCM, endeleeni kuamini hivyo, if that will make you happy!.
pasco ni sawa na shehe yahaya
[/COLOR]
MONDAY, OCTOBER 01, 2012
MH LOWASSA ASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA NAFASI YA UJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA WILAYA YA MONDULI
Mh Lowassa akizungumza na kuwashukuru wapiga kura wake waliompatia ushindi wa
kishindo.
Waziri mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,mh. Edward Lowassa akipongezwa mara baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya Wilaya ya Monduli uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha ualimu Monduli,Mh Lowassa ameshinda kwa kishindo kwa kuwabwaga wapinzani wake kwa idadi ya kura 709,mpinzani mwingine ameta kura 44 na mshindi mwingine aliibuka na kura 7.
Waziri mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,mh. Edward Lowassa akipongezwa mara baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya Wilaya ya Monduli uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha ualimu Monduli,Mh Lowassa ameshinda kwa kishindo kwa kuwabwaga wapinzani wake kwa idadi ya kura 709,mpinzani mwingine amepata kura 44 na mshindi mwingine aliibuka na kura 7.
MONDAY, OCTOBER 01, 2012 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG
Mkuu Jackbauer, hivi hatuwezi kubishana bila calling names!, mimi ni mwanahabari, mpaka ile saa ya kutangazwa matokeo, nitakuwepo live nikiripotia jf, nitampongeza mshindi na kumpa pole mshindwa!, ila nakuomba sana, mwambie matokeo yakiwa the otherway round, asisuse!.pasco ni mnafiki sana,huna msimamo wa kile unachokiamini.2015 sio mbali sijui utakuja na porojo gani pale chadema itakapochukua nchi.
Kauli za kukata tamaa heri fisadi mchapakazi! huu ni ujingaMpende msipende lowasa atakuwa rais 2015 hakuna wakumpinga heri fisadi mchapakazi,haza ukisingatia kipindi chake akiwa wasiri mkuu nidhamu ilikuwepo.