Niko mbali, ila mida hii nimetafuta wire wa JF na nimeupata.. Lowasa kapigiwa simu kali.. kaambiwa kama ana mpango wa kujivua gamba basi atafute nchi ya kuishi kama anapenda maisha yake.. sijui kinachoendelea huko nchini.. ila nimewajuza tu..
Anaeleza uhusiano wake na CCM na kuwa yeye ni kada wa chama kwa muda mrefu hivyo hawezi kukihujumu chama. Kama kuna tatizo wanajadili kwenye kikao na hawezi kumhujumu Rais
Hataki kuulizwa maswali nje ya atakayoyazungumza???? Mh sielewi elewi hapa ni kukimbia maswali magumu au sarakasi za kujivua gamba? Wacha tumsikilize anazungumza nini
Anaendelea kusema kuwa hajakutana na JK barabarani hivyo watu waache kumchonganisha na viongozi wa chama. Na anakanusha kuwa ana mpango wa kugombea urais. Anawaita wazushi wote kuwa ni wanafiki.
Lowassa ni miongoni mwa viongozi wenye kauli zisizoaminika katika jamii. Kwa mfano mdogo tu hapa, huyu ndugu alijipangia mwenyewe na akatafuta kututangazia kwamba leo hii ANALO LA MOYONI KUHUSU UFISADI WA DOWANS na kwamba angetuambia Wa-Tanzania wenzake kama na yeye kesharejesha chenchi Benki Kuu sawa na Manji au laa; ona sasa amepitiliza karibia na dakika 60 nzima!!!
Natoa TAMKO:Ni uzembe mpaka leo JF haina live audio flaws. kitu gani kigumu.. tuambie tuchangie.. habari hii tungeipata live humu jamvini.. Mods ongezeni kufikiri bwana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.