Ninapewa habari muda huu kwamba ndugu aliyekuwa Waziri Mkuu asiye mstaafu kwa mujibu wa Sheria baada ya kuondoka toka Dodoma na kutulia Dar kabla ya kwenda Monduli aliomba Visa ya kwenda UK akapigwa chini.Habari za kupigwa chini kwenye maombi yake hazijajulikana lakini nadhani vyanzo vya Ubalozi wanasema hawakutaka akasemee nje na pia walikuwa na wasi wasi alikuwa anataka kuhangaika na pesa zake kwenye account za nje .
Habari zikija nitawapa na kama kuna mwenye kujau zaidi karibu uendeleze hapa .
Habari zikija nitawapa na kama kuna mwenye kujau zaidi karibu uendeleze hapa .