Elections 2010 Lowassa Angejua....

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Waziri mkuu aliye jiuzu(si kustaafu) E.Lowassa angejua kwamba chochote anachofanya kujisafisha anajiaribia zaidi angefuata ushauri wa bure anaoupata hapa JF.Huwe kuwadhulumu Watanzania ukajisafisha bila kuwaomba radhi kwa uwazi na kuwarudishia ulichodhulumu.Huwezi kuwaonea Watanzania ukajisafisha bila kutubu kwa uwazi.Lowassa asifikiri anaweza akaongoza nchi hii kwa mlango wa nyuma bila kujulikana.Angalia ulivyomuaribia Ubunge Dr.Batilda huko Arusha mjini,Ulivyoshindwa kumhujumu Olesendeka na Sitta.Haya yote yangetosha kumuonyesha kuwa njia yake ya pekee ya kujisafisha ni kutubu kwa uwazi kama neno la mungu linavyosema na sii kwenda kutembea nje na kuja kusema umekwenda Israel kuhiji hiyo ni kejeli nyingine kwa Mungu. Wana JF mchango wenu.
 
Waziri mkuu aliye jiuzu(si kustaafu) E.Lowassa angejua kwamba chochote anachofanya kujisafisha anajiaribia zaidi angefuata ushauri wa bure anaoupata hapa JF.Huwe kuwadhulumu Watanzania ukajisafisha bila kuwaomba radhi kwa uwazi na kuwarudishia ulichodhulumu.Huwezi kuwaonea Watanzania ukajisafisha bila kutubu kwa uwazi.Lowassa asifikiri anaweza akaongoza nchi hii kwa mlango wa nyuma bila kujulikana.Angalia ulivyomuaribia Ubunge Dr.Batilda huko Arusha mjini,Ulivyoshindwa kumhujumu Olesendeka na Sitta.Haya yote yangetosha kumuonyesha kuwa njia yake ya pekee ya kujisafisha ni kutubu kwa uwazi kama neno la mungu linavyosema na sii kwenda kutembea nje na kuja kusema umekwenda Israel kuhiji hiyo ni kejeli nyingine kwa Mungu. Wana JF mchango wenu.

Huyu bwana Mvi alishaambiwa na JK-original (Julius Kambarage) kuwa "hufai".

Hayo ni maneno mazito kama aliyotoa Yesu Msalabani aliposema "imekwisha".

Lowasa anaweza kuwa Rais wa Wamasai; Siyo Rais wa Watanzania.

Watanzania Hatutaki usanii wa "mvua za kutengeneza" na "Kilimo cha mchicha New Zealand"
 
YOHANA 13
11Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi (JK).
Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka (URAISI NA UENYEKITI WA CCM).
12Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia (CCM/NEC/UWT/MAFISADI).
(JK) Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani (TANZANIA) wamwabudu huyo mnyama wa kwanza (LOWASSA) aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona (KASHFA YA UFISADI).
13Huyu mnyama wa pili (JK) akafanya miujiza ya ajabu (KUWAFUNGULIA KESI WAKINA MRAMBA).
14Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza (LOWASSA AT EL), aliwadanganya watu waishio duniani (TANZANIA).
 
YOHANA 13
11Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi (JK).
Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka (URAISI NA UENYEKITI WA CCM).
12Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia (CCM/NEC/UWT/MAFISADI).
(JK) Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani (TANZANIA) wamwabudu huyo mnyama wa kwanza (LOWASSA) aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona (KASHFA YA UFISADI).
13Huyu mnyama wa pili (JK) akafanya miujiza ya ajabu (KUWAFUNGULIA KESI WAKINA MRAMBA).
14Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza (LOWASSA AT EL), aliwadanganya watu waishio duniani (TANZANIA).

uko juu mkuu.umetafsiri vyema kabisa
 
YOHANA 13
11Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi (JK).
Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka (URAISI NA UENYEKITI WA CCM).
12Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia (CCM/NEC/UWT/MAFISADI).
(JK) Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani (TANZANIA) wamwabudu huyo mnyama wa kwanza (LOWASSA) aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona (KASHFA YA UFISADI).
13Huyu mnyama wa pili (JK) akafanya miujiza ya ajabu (KUWAFUNGULIA KESI WAKINA MRAMBA).
14Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza (LOWASSA AT EL), aliwadanganya watu waishio duniani (TANZANIA).

Hivi anayasoma haya au anayafumbia macho hata vibaraka wake hawako humu wamueleze?HATUMTAKI AENDE AKACHUNGE NG'OMBE MONDULI!!!!!!!!!!!
 
YOHANA 13
11Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi (JK).
Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka (URAISI NA UENYEKITI WA CCM).
12Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia (CCM/NEC/UWT/MAFISADI).
(JK) Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani (TANZANIA) wamwabudu huyo mnyama wa kwanza (LOWASSA) aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona (KASHFA YA UFISADI).
13Huyu mnyama wa pili (JK) akafanya miujiza ya ajabu (KUWAFUNGULIA KESI WAKINA MRAMBA).
14Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza (LOWASSA AT EL), aliwadanganya watu waishio duniani (TANZANIA).

Aisee inawezekana hayo maandiko yaliilenga Tanzania.
 
Huyu bwana Mvi alishaambiwa na JK-original (Julius Kambarage) kuwa "hufai".

I think hata huyu JK aliyechakachua jina ili afanane na JK original nae alikuwa hafai. Huu ni mzigo zaidi kwa watanzania. Mungu atunusuru.
 
Lowassa hatakiwi kufungua mdomo mla rushwa mkubwa yeye pamoja na Chenge na Rostam Aziz

Huyu jama LE nadhani watu wanamjua juu juu alishaapa lazima aiongoze nchi hii, sa sijui ni kwa kuchaguliwa au kwa mabavu, wameshajikusanyia hela nyiiingi saaaana yeye pamoja na wenzake wana uwezo mkubwa sana kifedha. Tatizo kubwa lililopo ni elimu ya uraia kwa wananchi wa tanzania ni hakuna ukichanganya na umasikini wao basi ndio hivyo tena wanaweza kununuliwa extremely cheap wakati wa uchaguzi.
 
Huyu bwana Mvi alishaambiwa na JK-original (Julius Kambarage) kuwa "hufai".

Hayo ni maneno mazito kama aliyotoa Yesu Msalabani aliposema "imekwisha".

Lowasa anaweza kuwa Rais wa Wamasai; Siyo Rais wa Watanzania.

Watanzania Hatutaki usanii wa "mvua za kutengeneza" na "Kilimo cha mchicha New Zealand"


:hippie::hippie::hippie:
 
Aisse kituko wewe ni mkali hebu tutafutie tena mstari mwingine umuandikie RA.

Nimekukubali

YOHANA 13
11Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi (JK).
Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka (URAISI NA UENYEKITI WA CCM).
12Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia (CCM/NEC/UWT/MAFISADI).
(JK) Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani (TANZANIA) wamwabudu huyo mnyama wa kwanza (LOWASSA) aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona (KASHFA YA UFISADI).
13Huyu mnyama wa pili (JK) akafanya miujiza ya ajabu (KUWAFUNGULIA KESI WAKINA MRAMBA).
14Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza (LOWASSA AT EL), aliwadanganya watu waishio duniani (TANZANIA).
 
Kituko hiyo ni Ufunuo wa Yohana 13:11-14: Kwahiyo tafasiri yako imetulia - kwa kuwakilisha ujumbe kisiasa
 
Mmaroroi anaota huyo hawezi kabisa kutawala nchi hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!tena angejua angenyamaza kimya...........................haoni mwenzie vijisenti kajipalia makaa ya moto............................................ Katibu wa sisiem akibadilishwa ndoto hii haitokuwepo asilani. Mafisadi wanalindwa na Mgosi Makamba.......................................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!huyu ndiye anayetaka kutumaliza watanzania; tuamke jamani............................. 2015 Mmaroroti ndiye rais aliyeandaliwa.....................!!!!!!!!!!!!!!!!
 
YOHANA 13
11Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi (JK).
Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka (URAISI NA UENYEKITI WA CCM).
12Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia (CCM/NEC/UWT/MAFISADI).
(JK) Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani (TANZANIA) wamwabudu huyo mnyama wa kwanza (LOWASSA) aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona (KASHFA YA UFISADI).
13Huyu mnyama wa pili (JK) akafanya miujiza ya ajabu (KUWAFUNGULIA KESI WAKINA MRAMBA).
14Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza (LOWASSA AT EL), aliwadanganya watu waishio duniani (TANZANIA).


Yaani huo ni msumari katikati ya kichwa, hawanyanyuki hapo. Umecheza vizuri sana na maandiko kuwapaka hao wezi wa rasilimali zetu.

Aisee inawezekana hayo maandiko yaliilenga Tanzania.

The Holy Bible is universal, there has never and shall never exist a book to compare to the Bible, the wisdom in it is uncomparable and fits every kind of situation you can think of. Nakubaliana na wewe Ndibalema, Biblia iliandikwa kwa Tanzania pia.
 
Back
Top Bottom