Lowassa and Co., waliteka Bunge; Sitta, Mwakyembe kudhibitiwa

lowassa ameshinda uenyekiti kamati ya mambo ya nje.wakati huo huo serukamba amemshinda ANNA KILANGO kwa kura 1 na kuwa mwenyekiti wa miundombinu.zitto ameshinda POC

Imekuwaje tena? huyu Zito kwani hakutoka nje pamoja na wenzake wa CDM?
 
Imekuwaje tena? huyu Zito kwani hakutoka nje pamoja na wenzake wa CDM?

Zubeda unadandia mkuki kwa mbele.

Inaonekana huelewi hata kwa nini CDM walitoka. CDM jana hawakugomea bunge bali upigaji kura ili kubadili kanuni. Hata kama wangekaa bado kura zao zisingeathiri matokeo, sasa katika siasa unaweza kuonyesha kwamba hujaridhika na njia mojawapo ni walk out.

Kwa ambao mmeanza kufuatilia siasa baada ya uchaguzi mnapaswa kukumbuka kuwa Kambi ya Upinzani bungeni wamekuwa wakitoka kupinga kupitisha bajeti ya serikali.
 
Wewe Zu vipi kwani?Yes alitoka na bado kapigiwa kura kwa kuwa anaweza ubaya uko wapi?
 
1. Mashirika ya umma (POC)
2. Fedha za serikali (PAC)
3. Serikali za Mitaa (LAC)
 
ccm wawe makini na wajue nchi hii ndani ya miaka mitano ijayo aitakuwa hivyo ni muda ambao sasa watanzania wanabadilika na kujua mengi kuhusu nchi yao
 
This is hot news and a really CCM come-back paving way for EL and RA towards 2015..ucshangae RA akaja kuwa PM if EL becomes the next president in 2015...ni uozo wa namna gani huo, TPDF get ready!
 
Kumbe EL ile kujiuzuluu ilikuwaa na utashi wake mwenyewee!!! Leo kapita BILA KUPINGWA..LOL!!! CCM wanaonekanaa kumpendaa sanaa huyu mwenzao ukiondoa wale akina SIX na MWAKY. Nimpongezee kwa hii come back style aloifanya..magazeti hata hayakushtukiaa mapemaa watujuzee!!! chenga ya mwilii kwa Mwanahalisi!!!!!!!
 
Kwa wale waijua virefu vya PAC etc.

Types of Parliamentary Committees

Tanzania Parliament possesses an organised system of committees which comprises standing committees and Select Committees.

  1. Finance and Economic Affairs
  2. Public Accounts - John Cheyo
  3. Social Services - Margreth Sitta
  4. Social Welfare & Community Development
  5. Constitutional, Legal and Public Administration
  6. Standing Orders
  7. Parliamentary Privileges, Ethics and Powers
  8. Energy and Minerals - January Makamba
  9. HIV/AIDS Affairs
  10. Infrastructurec - Serukamba
  11. Public Corporation Accounts - Zitto Kabwe
  12. Miscellaneous Amendments
  13. Land, Natural Resources and Environment
  14. Agriculture, Livestock and Water
  15. Foreign Affairs, Defence and Security - Edward Lowassa
  16. Industries and Trade
  17. Local Government Accounts -
 
its really crazy how EL bado anaaminiwa na kupewa nyadhifa katika hili bunge

Kuanzia leo siangalii bunge kwa siku saba kupinga na kulaani ushuzi unaofanywa na watu tuliowaamini watulindie nchi
Pole MTM, kumbuka hizi ni mvua za manyunyu, pale atakapochaguliwa kuwa Rais sijui utajificha wapi.
 
Back
Top Bottom