jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Kwa jinsi hali inavyokwenda, CCM hawana mpango wa kupambana na upinzani kabisa.Mpinzani wao n Lowasa,wengine wote kimya kimya kabisa.
Lowassa tu ndio anayezunguka nchi nzima,wao wanatalii Ulaya! Hawana vya kusema.Ni kama CHADEMA haipo kabisa.NCCR Mageuzi nao hoi.Coverage zote kwenye mitandao ya kijamii na media zingine ni LOWASSA,LOWASSA,LOWASSA! Mara yupo Mbinga, mara Iringa, mara Songea,mara Igunga nk.
Salum Mwalimu nae kapotea,Lowassa anachanja mbuga peke yake.
Lowassa tu ndio anayezunguka nchi nzima,wao wanatalii Ulaya! Hawana vya kusema.Ni kama CHADEMA haipo kabisa.NCCR Mageuzi nao hoi.Coverage zote kwenye mitandao ya kijamii na media zingine ni LOWASSA,LOWASSA,LOWASSA! Mara yupo Mbinga, mara Iringa, mara Songea,mara Igunga nk.
Salum Mwalimu nae kapotea,Lowassa anachanja mbuga peke yake.