Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
Baada ya Lowassa kujua uwezo wa kufikiri wa Kikete ni mdogo na yeye kuwa mshauri wake mkuu na kujua hobi za Rais huyo,anapeda kusafiri, kuvaa vizuri, kupingwa picha, kuonekana na watu maarufu dunia, anapenda kufuraisha nafsi....n.k, basi anamwambia JK kwenda nje na kuomba misaada wakati yeye anajijengea umaaru mkubwa, na kufanyabiasha na Mawaziri anaporudi anaambia tumeka kikao na waziri husika na bodi tumepitisha hivi,MIKATABA
sababu hiyo mikataba ina sainiwa kijinga na hizo ni haraka za Lowassa na kuwahaikishia mawazri hakuna kitakacho tokea, nchi ni yangu mimi na kikwete.
kama kawaida yake wamesha mgundia Kikwete huwa hasomi,Lowasa ameitumia nafasi hii kama alivyo mwambia JK ampeleke mtoto wa SOKOINE kusoma Marekani na kazi ampe ubalozi Washngton DC. baada ya kujua yule mtoto alishawishiwa na wazee wakimasaai agombae Ubunge Wilaya ya Mondoli , kutokana na uswaiba wao JK alifanya hivyo mara moja , akiwa kama waziri wa mambo ya nje.
Lowassa alijua awezi kushindana na yule mtoto wa sokoine dawa ni kumuondoa pale kwenda kusoma na ahadi nyingi za kuisaidia familia ya sokoine. pia EL soyo Mmasai ni Mmeru amekulia masaini.
sababu hiyo mikataba ina sainiwa kijinga na hizo ni haraka za Lowassa na kuwahaikishia mawazri hakuna kitakacho tokea, nchi ni yangu mimi na kikwete.
kama kawaida yake wamesha mgundia Kikwete huwa hasomi,Lowasa ameitumia nafasi hii kama alivyo mwambia JK ampeleke mtoto wa SOKOINE kusoma Marekani na kazi ampe ubalozi Washngton DC. baada ya kujua yule mtoto alishawishiwa na wazee wakimasaai agombae Ubunge Wilaya ya Mondoli , kutokana na uswaiba wao JK alifanya hivyo mara moja , akiwa kama waziri wa mambo ya nje.
Lowassa alijua awezi kushindana na yule mtoto wa sokoine dawa ni kumuondoa pale kwenda kusoma na ahadi nyingi za kuisaidia familia ya sokoine. pia EL soyo Mmasai ni Mmeru amekulia masaini.