Lowassa amtisha Kikwete kujiokoa (Raia Mwema 30/11/2011)

Lowassa is a disaster!pia kiukweli anaumwa japo mwenyewe anaficha,anaumwa tena ugonjwa mzito sana ambao unahitaji kupumzika muda mwingi lakini mimi namshangaa mzee wangu yule na hizi harakati badala ya kujionea huruma akatulia kuitazama afya yake;tatizo lowassa wapambe wake ndio wanammaliza taratibu bila yeye kujua,kuna watu wamemzunguka wanaamini bila yeye hawawezi kupata nafasi za uongozi,sasa wanatumia ile punda afe lakini mzigo ufike,hawamuonei huruma mwenzao wao wanatizama hatma zao za kisiasa huko mbele,hili ni tatizo!

Edward Lowassa ameaihirisha haja. Atabanwa tu na lazima atajisalimisha maliwatoni. Mukama ndiye atakayemuonyesha mlango wa maliwatoni. Kwa muda wa siku kadhaa magazeti yake aliyoyanunua yalituficha ukweli sasa Raia Mwema akamtoa paka kutoka kwenye gunia na ukweli huu unawasumbua walioamua kuuficha.
 
Bila shaka watanzania wanatamani mwl Nyerere angefufuka aje asafishe chama hiki kilichofikia sifa ya kuwa Chama Cha Mashetani badala ya chama cha wakulima na wafanyakazi. Hizi ngonjera zote zinatupeleka wapi????? Vita ya magamba haiishi maana kwa maneno ya ENL Dodoma gamba kuu ndiye kinara-sasa utegemee nini???????Watanzania watulie waone utawala wa Shetani ulivyo. Mbona suala la rais kulindwa na majini hakuna anayepigia kelele?????????? Taifa limeridhia kuwa chini ya utawala wa Lusifa maana ndiye anayemiliki ikulu na mamlaka zake zote!!!!!!!!!! Kenya walichinjana kama kuku-kwani Tz ni ajabu hii kutokea??????????????? Ninyi subirini tu ni suala la wakati tu!!!!!!!!! Mbona hakuna anayetafuta ridhaa ya Mungu wakati taifa lnaangamia!!!!!!!!!!!!!??????????????
Halelujahhhhhhh,Mwambie Shetani,Nimeokoka,Sitarudi Nyuma Naenda kanani
 
mbona mnaturudisha nyuma? mvua gamba kasema gamba si lake gamba ni Mkuu mwenyewe, kama ni kweli basi TZ kuna waandishi uchwara, yaani kupata ukweli ni mpaka tusubiri Raia mwema? au basi awepo Raia Mwema emegensi ya kutuandikia ukweli.
 
"hakuna aliyesafishwa katika vikao vya chama Dodoma, baadhi ya vyombo vya habari vimepotosha kwamba nec imesafisha watuhumiwa wa ufisadi, wakati kinachoendelea ni mchakato wa kuwachukulia hatua."-Wilson Mukama.

habari ndio hiyo mnaoshangilia magazeti!!!!

Ukweli, katika suala la Lowasa, siku hizii heri usome Uhuru kuliko Tanzania Daima. Uhuru waliandika kiweledi zaidi kuliko gazeti watu walilotegemea liwape taarifa zilizokamilika. Lakini inaeleweka hata mwandishi aliyeunganishwa na simu ya lowasa moja kwa moja, ni aibu kwa tasnia ya habari.

Raia Mwema wako sahihi, wamechambua kiundani zaidi, wameonyesha ukweli ambao kwa mtu aliye mweledi atabaini kuwa alichokifanya Lowasa, kama walivyoripoti hao walamba viatu wake kwenye vyumba vya habari, ni kumtisha JK ili asishughulikiwe.

Mtu aliyewahi kushika nafasi nyeti ya Waziri Mkuu anaropoka siri za serikali ujue uwezo wake wa kupembua mambo ni mdogo, na ndio maana Mkapa alikuwa akitabasamu, ilikuwa ni kebehi kwa Lowasa na wanamtandao wote.

Waandishi wa habari, wapambe wa huyo jamaa wanapaswa kufahamu kuwa Watanzania wanafahamu mchezo wao wa kutumia vyombo vya habari, kuendelea na hiyo mbinu hakumsaidii, mlifanikiwa 2005 kuwamaliza wapinzani wenu kwa kalamu, safari hii mmenoa, wanahabari walamba viatu mnajiabisha, huku site tunawafahamu na tumewadharau!!!!
 
:eyebrows:
Ukweli, katika suala la Lowasa, siku hizii heri usome Uhuru kuliko Tanzania Daima. Uhuru waliandika kiweledi zaidi kuliko gazeti watu walilotegemea liwape taarifa zilizokamilika. Lakini inaeleweka hata mwandishi aliyeunganishwa na simu ya lowasa moja kwa moja, ni aibu kwa tasnia ya habari.

Raia Mwema wako sahihi, wamechambua kiundani zaidi, wameonyesha ukweli ambao kwa mtu aliye mweledi atabaini kuwa alichokifanya Lowasa, kama walivyoripoti hao walamba viatu wake kwenye vyumba vya habari, ni kumtisha JK ili asishughulikiwe.

Mtu aliyewahi kushika nafasi nyeti ya Waziri Mkuu anaropoka siri za serikali ujue uwezo wake wa kupembua mambo ni mdogo, na ndio maana Mkapa alikuwa akitabasamu, ilikuwa ni kebehi kwa Lowasa na wanamtandao wote.

Waandishi wa habari, wapambe wa huyo jamaa wanapaswa kufahamu kuwa Watanzania wanafahamu mchezo wao wa kutumia vyombo vya habari, kuendelea na hiyo mbinu hakumsaidii, mlifanikiwa 2005 kuwamaliza wapinzani wenu kwa kalamu, safari hii mmenoa, wanahabari walamba viatu mnajiabisha, huku site tunawafahamu na tumewadharau!!!!

Baelezee baelewe!strategy ya kununua magazeti imepitwa na wakati,wanasahau kwamba waliitumia wakiwa wote na huyu mwenzao jk ambae yuko ikulu sasa miaka 6 iliyopita,ambayo ilikuwa chini ya uratibu wa salva rweyemamu,leo ndio wanataka kuitumia hiyohiyo kupambana nae tena huku wao mahala pa salva wamempachika kiazi Balile na Bashe!salva na balile ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi,sasa hivi ilibidi waje na strategy nyingine mpya!
 
Back
Top Bottom