Hapana!! Tafsiri yake ni kwamba anahusishwa Bernard Membe....Membe ndie hasimu mkubwa wa Lowasa 2015.....Membe hata kama hajatamka hadharani, lakini anaamini magazeti ya Habari Corporation yanamchafua....!!mpotezee huyu.
turudi kwenye mada nimejiuliza mambo mengi sana juu ya hii mada, ina maana basi waliomshambulia Kibanda wanahusishwa na upinzani?? kama ndio kwann iwe hivyo na wala isiwe ni CCM ambao sio wa kambi ya lowassa??
sijasema kama ndivyo ila nina jaribu ku speculate tu