Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,110
- 39,286
Kweli Ndalichako anasafari ndefu, kilicho andikwa hapa ni KITUSI au kiswahili? Kama ni kiswahili basi tunasafari ndefu kama taifa. IMBOMBO NGAFU NKAMU
Hao ndio wandani wa mtukufu rais!!! aka mainjinia wa Tanzania ya viwanda!!!