Luhungu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 816
- 232
akili zao zinafanana hao wanaowatumia .watahangaika sana Lowasa lakini watazidi kumwona aking"aa kama nyota kila siku.
Lina msaada gani
'boya kwa maiti aliye zama'??
Tafakar,
akili zao zinafanana hao wanaowatumia .watahangaika sana Lowasa lakini watazidi kumwona aking"aa kama nyota kila siku.
utakufa wewe na ukoo wenu wote
Jiongeze..jaribu kupunguza level ya ulofa na upumbavu..Majaliwa sio waziri mkuu wa Dar es salaam tu na si lazima akae ofisini.huko kigoma yupo ofisini?au hizo ziara anaenda kuongea na ngedere ?kwa sababu watu watakuwa wapo bize wanafanya kazi .
Kumbe ananyota ya kifalme afu anataka urais akagombee uingereza kwa Elizabeth sasaHuyu mzee ana nyota ya kifalme.
Hiv huwa kuna igizo la kushtukiza? Ha ha hana yule anafanya maigizo ya kushtukiza anaitwa nani?
Kwan we n bodaboda au ma ntilie?Lowassa ni Rais wa moyo wangu ;
Hataree kalishonea na kimfuko kabisa lisining'inie.Fisadi yupo msoga analea tezi dume
Kumbe ananyota ya kifalme afu anataka urais akagombee uingereza kwa Elizabeth sasa
Umeshakimbilia kwenye matusi sasa, nimesema kama ana nyota ya kifalme aende England kwa Elizabeth kuna haja ya kutoa tusi hapohuko kuvuta bangi mchana ni hasara sana angalia unavyojithalilisha humu JF.
fisadi anaendelea na mazingaombweeee....
Fisadi yupo msoga analea tezi dume