WE ARE ANONYMOUS
JF-Expert Member
- Mar 23, 2015
- 217
- 282
Tumeshuhudia jinsi Ndugu Edward Lowassa alivyopokelewa kwa shangwe ndani ya Chamba cha Demokrasia na Maendeleo, ila kwa kwawaida huwa mtu akihama chama kimoja kwenda kingine, tunaona akikabidhi kadi yake ya awali, sasa tumeshuhudia LOWASSA akitoka CCM kwenda CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya CHADEMA, lakini Je I wapi kadi yake ya awali ya CCM?
Zaidi ya hapo, wale vijana wake wakiwemo akina Bashe ambaye alikuwa msemaji wake, wapo CCM bado, je watakuwa na uhusiano gani na Lowassa wakati huu ambapo yupo CHADEMA.
Kwa kweli CHADEMA siwaelewi, siku zote napenda mabadiliko, and I hate to see CCM ruling, ila hii style ya mtu kujiunga juzi, na leo ndio mgombea uraisi, simply like that, daaah, hata kama ni opportunity, CHADEMA mpe prove udhaifu mkubwa!
Zaidi ya hapo, wale vijana wake wakiwemo akina Bashe ambaye alikuwa msemaji wake, wapo CCM bado, je watakuwa na uhusiano gani na Lowassa wakati huu ambapo yupo CHADEMA.
Kwa kweli CHADEMA siwaelewi, siku zote napenda mabadiliko, and I hate to see CCM ruling, ila hii style ya mtu kujiunga juzi, na leo ndio mgombea uraisi, simply like that, daaah, hata kama ni opportunity, CHADEMA mpe prove udhaifu mkubwa!