chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Baada ya mnyukano,rushwa ,makundi,bunduki kutawala katika uchaguzi wa ccm , imejulikana kuwa aliyeongoza kikao huko Dodoma na masterplan alikuwa lowasa na si Kikwete . Hayo nimeyapata hapa shinyanga wakati mmoja wa watu aliyekuwa imeishatangazwa kuwa ameenguliwa kutamba kuwa jina lake lililudishwa kwa amri ya lowasa na si wapiga kelele wengine.
Alisema 'niliongea naye akaniambia nisiwe na wasiwasi na wapiga kelele na mambo yatakuwa sawa' huku akiongezea kuwa Lowasa amempa ahadi kijana (Nape) kuwa aache kelele ili awe katibu mkuu awamu ijayo.
Hofu ilikuwa eti Kikwete asipomwachia lowasa kupanga safu ijayo, timu ya sasa isingemaliza mda wake.
Alisema 'niliongea naye akaniambia nisiwe na wasiwasi na wapiga kelele na mambo yatakuwa sawa' huku akiongezea kuwa Lowasa amempa ahadi kijana (Nape) kuwa aache kelele ili awe katibu mkuu awamu ijayo.
Hofu ilikuwa eti Kikwete asipomwachia lowasa kupanga safu ijayo, timu ya sasa isingemaliza mda wake.