YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Kuna wanao dai kuwa Lowassa ni msafi hakuna mahakama iliyowahi mhukumu kwa ufisadi.
Nchi ina mihimili mitatu ambayo ni bunge,Serikali na mahakama.Bunge lilishamhukumu kuwa ni fisadi mbele ya bunge lote.Serikali ikampiga chini kuondoka uwaziri mkuu.Chama cha Mapinduzi kikaona kiungane na maamuzi ya bunge kikakata jina lake.
CHADEMA wasiojali maamuzi ya bunge ambalo hata wao walikuwemo hukumu ya Lowassa ilipotolewa wakampa agombee uraisi.CHADEMA wana dharau kubwa kwa bunge.Wakiongea utafikiri wao hawakuwemo bungeni wanavyomtetea kwa nguvu.
Kuweka rekodi sawa ieleweke kuwa lowasa alihukumiwa na bunge na chama chake cha CCM kuwa ni FISADI.
CHADEMA kikaamua kumchukua fisadi aliyehukumiwa na bunge na chama chake.Kusema Lowassa hakuhukumiwa ni uongo
Nchi ina mihimili mitatu ambayo ni bunge,Serikali na mahakama.Bunge lilishamhukumu kuwa ni fisadi mbele ya bunge lote.Serikali ikampiga chini kuondoka uwaziri mkuu.Chama cha Mapinduzi kikaona kiungane na maamuzi ya bunge kikakata jina lake.
CHADEMA wasiojali maamuzi ya bunge ambalo hata wao walikuwemo hukumu ya Lowassa ilipotolewa wakampa agombee uraisi.CHADEMA wana dharau kubwa kwa bunge.Wakiongea utafikiri wao hawakuwemo bungeni wanavyomtetea kwa nguvu.
Kuweka rekodi sawa ieleweke kuwa lowasa alihukumiwa na bunge na chama chake cha CCM kuwa ni FISADI.
CHADEMA kikaamua kumchukua fisadi aliyehukumiwa na bunge na chama chake.Kusema Lowassa hakuhukumiwa ni uongo