Kama CCM inataka kupata wabunge wengi mwaka huu kutoka ukawa basi wampitishe mtu tofaut na Edo. Maana sio kwamba tunataka mtu msafi ila tunataka mtu ambaye nguvu yake itasaidia kupata wabunge wa kutosha. Nguvu ya Edo ni kubwa kiasi kwamba hata wabunge wengi watatoka CCM tofaut na kumpitisha mtu tofaut na yeye maana hao wengine mpaka kuja kuwauza mtajikuta mnaweka nguvu kubwa kwa rais na mnapigwa kwa wabunge