Lowassa AKIJIELEZEA UCHUNGU Kwenye youtube

Yaani Lowasa hata kumeza mate anaongea na mtu mzima mwenzake hamezi ? Monduli Monduli Monduli .Usanii bwana hata haoni aibu .
 
Unaafiki mtupu,

Kwa nini asitumie pesa alizokuwa nazo tangu 1990s kuwasaidia hawa watoto?

Yeye ni mtu tajiri sana- ana makampuni kibao, amekula rushwa nyingi- hapo alipo hakosi 20 Billions Tshs- yet leo anaomba msaada California US!

Huu ni unafiki!

Pia ni aibu!
 
Hivi video alikuwa kwenye mkutano gani? Hiyo speed anayoongea nayo utadhani mwanamziki wa nyimbo za kufoka foka!!
 
Hivi mnaielewa hii CV ya mheshimiwa Lowassa hapa chini? Jamaa hayuko makini kabisa, yaani ofisi nzima ya Waziri Mkuu wanashindwa kuona kwamba hapa kuna mambo sio sahihi?

Tanzania Government Prime Minister 2006
Ministry of Water and Livestock Development Minister 2000 2005

Ministry of Lands, Human Settlement Development Minister 1993 1995

State, Prime Minister's Office and First Vice President Minister (Judiciary &Parliamentary Affairs) 1990 1993

Arusha International Conference Centre Managing Director 1989 1990

State, Vice President's Office Minister for Environment & Poverty 1988 2000
 
Kwa ufupi sii makini- hakujiandaa na hana uhakika na anachoongea!

Pia Kiingereza chake ni duni kweli!
 
Mbona kichwa cha habari hakiendani na picha ya Lowassa? Nilidhani Lowassa anaeleza uchungu wa kutema kiti chake cha enzi!
 
HIYO INAITWA "MANGULO" KWA WALE WATU WA ARUSHA WANAELEWA..NDO SLANG HIYO..KWA LUGHA NYINGINE.."USANII"
ALITAKIWA ASEME HIVI;KUTOKANA NA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA..WANANCHI WENGI WANADIDIMIA KWENYE UMASKINI NA ELIMU BADO NI SHIDA..NA NJAA NI KUBWA..HIVYO BASI TUMEAMUA KURUDISHA BILIONI 133 KWA WANANCHI ILI ZIWAPELEKEE MAENDELEO NA KUWAKWAMUA KIUCHUMI..PIA KUWAPA HUDUMA MUHIMU ZA JAMII!
 
Hivi mnaielewa hii CV ya mheshimiwa Lowassa hapa chini? Jamaa hayuko makini kabisa, yaani ofisi nzima ya Waziri Mkuu wanashindwa kuona kwamba hapa kuna mambo sio sahihi?

Tanzania Government Prime Minister 2006
Ministry of Water and Livestock Development Minister 2000 2005

Ministry of Lands, Human Settlement Development Minister 1993 1995

State, Prime Minister's Office and First Vice President Minister (Judiciary &Parliamentary Affairs) 1990 1993

Arusha International Conference Centre Managing Director 1989 1990

State, Vice President's Office Minister for Environment & Poverty 1988 2000
Alikuwa waziri wa ardhi..hivo alishiriki kikamilifu kuiuza nchi yetu!
Alikuwa waziri wa maji..hajafanya chochote kuwasaidia wananchi kwani maji bado ni shida ya ajabu huku mafisadi wakifuja feda za wananchi!
Alikuwa waziri wa ofisi ya waziri na makamu wa rais..hivyo alishiriki kikamilifu kenye ufisadi ambao ulivuka mipaka kipindi hicho alipokuwa na cheo hicho!
AICC alishiriki kikamilifu kwenye kuifilisi!
 
Mimi hata siamini, maana alipewa maksi kibao na wazalendo. Kama kweli ameiibia nchi, inambidi atubu mbele ya watanzania ndipo atasamehemewa na mungu pia. Naona dhambi yake ni kubwa na akiendelea kuifunika haitaacha kunuka katika historia ya Tanzania. Na hii ni kwa sababu aliaminiwa na kila mtanzania.
 
Ameandika:

State, Vice President's Office Minister for Environment & Poverty 1988 2000

Sasa alikuwa na vyeo vingi kwa wakati mmoja? Alikuwa Director wa AICC huku akiendelea kuwa waziri?

Lowassa alikuwa anajituma kwenye kazi, tatizo lake ni uwizi. Angekosa kuwa jambazi, huenda ni mchapa kazi kuliko mawaziri wetu wengi. Pia tatizo lake lingine ni kupenda PR ambayo tunaweza kusema ni usanii.
 
Mtanzania'

In 1985 yeye akiwa Vijana CCM na mbuge unakumbuka alihusika ktk tume ya kuchunguza ubadhirifu wa madini?

Tatizo la EL ni tammaaa ya kuwa na pesa nyingi!

Mimi sasa naangalia uadilifu zaidi ya hata elimu!

Pia amewatia Wamaasai na Watu wa Arusha na Monduli aibu kubwa sana!
 
apparently alisoma Mlimani na Bath Univ.

Unfortunately inelekea kuwa Mlimani hutoa mchanganyiko maalum: Pumba na mchele vyote vinapita tu.

Hebu angalia Alumni ya Mlimani: Mhe. Kivuitu, Rais Mseveni, Mhe. Lowasa, Prof Issa Shivji, Kichuguu (mimi), Mhe. Joseph Warioba, Mhe. Kikwete, Prof Lipumba, Maalim Seif Sharif Hamad.

Yaani Kichuguu naona aibu kuwa nimechanganyika na pumba akina Kivuitu na Lowasa, ingawa vile vile naona ufahari kuchanganyikana na akina Prof Shivji.
 
Unfortunately inelekea kuwa Mlimani hutoa mchanganyiko maalum: Pumba na mchele vyote vinapita tu.

Hebu angalia Alumni ya Mlimani: Mhe. Kivuitu, Rais Mseveni, Mhe. Lowasa, Prof Issa Shivji, Kichuguu (mimi), Mhe. Joseph Warioba, Mhe. Kikwete, Prof Lipumba, Maalim Seif Sharif Hamad.

Yaani Kichuguu naona aibu kuwa nimechanganyika na pumba akina Kivuitu na Lowasa, ingawa vile vile naona ufahari kuchanganyikana na akina Prof Shivji.

Kichuguu,

Huenda na wewe ungelikuwa kwenye siasa Afrika, ungeishia kuwa kama hao waheshimiwa (Kwi kwi kwi!!!!).

Yaani ni balaa tupu, tatizo sio Mlimani, tatizo ni culture ya Waafrika kwa ujumla.

Watu wengi wanashindwa kuielewa JF kwa sababu we dare to speak openly wakati culture zetu nyingi ni uoga uoga na uongo. Mkubwa anajamba anasingiziwa mtoto. Labda sisi tuna nafasi kubwa ya kuleta changes Tanzania. Hiki chombo inatakiwa hata kipate misaada ya wale jamaa wa civil society maana elimu ya JF ni kubwa kuliko NGO kibao TZ.

Yale aliyoambiwa Lowassa na tume ya Mwakyembe, kikawaida hayatakiwa kuongelewa kwa Afrika.

Kinachosikitisha tu ni pale sisi wenyewe tunavyotoka hapa na kwenda kuwa mafisadi huko ardhi, UDSM, hospitali na kwingineko. Hii vita inatakiwa isiishie kwa wanasiasa na badala yake iwe mpaka walio chini ambao wananyanyasa wananchi wetu.
 
Kichuguu,

Huenda na wewe ungelikuwa kwenye siasa Afrika, ungeishiwa kuwa kama hao waheshimiwa (Kwi kwi kwi!!!!).

Yaani ni balaa tupu, tatizo sio Mlimani, tatizo ni culture ya Waafrika kwa ujumla.

Watu wengi wanashindwa kuielewa JF kwa sababu we dare to speak openly wakati culture zetu nyingi ni uoga uoga na uongo. Mkubwa anajamba anasingiziwa mtoto. Labda sisi tuna nafasi kubwa ya kuleta change Tanzania. Hiki chombo inatakiwa hata kipate misaada ya wale jamaa wa civil society maana elimu ya JF ni kubwa kuliko NGO kibao TZ.

Yale aliyoambiwa Lowassa na tume ya Mwakyembe, kikawaida hayatakiwa kuongelewa kwa Afrika.

Kinachosikitisha tu ni pale sisi wenyewe tunavyitoka hapa na kwenda kuwa mafisadi huko ardhi, UDSM, hospitali na kwingineko. Hii vita inatgakiwa isiishie kwa wanasiasa na badala yake iwe mpaka walio chini ambao wananyanyasa wananchi wetu.

Duh; Kwi, kwi, kwi, kwi. Kijasho kimenitoka.

Hapana aisee, haiwezekani niwe mmoja wa vilaza hao hata siku moja. Unajua watu wa aina hiyo huwa wanapenda sana kujipendekeza kwa wakubwa wao na ndiyo maana wanapata vyeo. Sisi tunaongalia maslahi ya umma huwa tunakuwa na misimamo ambayo huwa haifurahishi watoa vyeo wengi huko kwetu: hatuwezi kuwa akina "Yes Man." Kwa hiyo ukiona siko madarakani ujue kuwa ni kwa sababu siyo mmoja wa aina hiyo.
 
Back
Top Bottom