S2dak_Jr
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 198
- 45
Wanabodi,
Kuna taarifa kuwa Barrick Gold wametoa madawati 500 yenye thamani ya Tsh.15,000,000 kwa shule ya Jimbo la Ukonga.
Habari zinadai kuwa EL ndiye aliyekabidhi madawati hayo kwa Makongoro Mahanga (MP), Mbunge wa Jimbo la Ukonga.
Akiongea kwenye hafla hiyo, EL amesema amesikitishwa na matokeo ya kufeli masomo ya Sayansi kwa mitihani iliyofanyika mwaka jana.
Source: Clouds Fm News saa 2:00 asubuhi leo.
Swali:
i) African Barrick Gold wasingeweza hao wenyewe kukabidhi madawati hayo bila ya kumualika EL?
ii) Kuna nini kati ya EL na Mahanga? Au ndio exposure ya presidential races za 2015?
Naomba kuwasilisha
Kuna taarifa kuwa Barrick Gold wametoa madawati 500 yenye thamani ya Tsh.15,000,000 kwa shule ya Jimbo la Ukonga.
Habari zinadai kuwa EL ndiye aliyekabidhi madawati hayo kwa Makongoro Mahanga (MP), Mbunge wa Jimbo la Ukonga.
Akiongea kwenye hafla hiyo, EL amesema amesikitishwa na matokeo ya kufeli masomo ya Sayansi kwa mitihani iliyofanyika mwaka jana.
Source: Clouds Fm News saa 2:00 asubuhi leo.
Swali:
i) African Barrick Gold wasingeweza hao wenyewe kukabidhi madawati hayo bila ya kumualika EL?
ii) Kuna nini kati ya EL na Mahanga? Au ndio exposure ya presidential races za 2015?
Naomba kuwasilisha