kakakuona40
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 300
- 52
Lowasa anatafuta kuungwa mkono na vijana ambao wengi hawana ajira, haka kamchezo tumeshakashitukia!
Yule mpendwa aliekuja jf akasema Lowasa hajaalikwa labda amsindikize mkewe mboja hajitokezi kusema lolote?
Mh tunatafuta maziwa kutoka kwa ngombe dume... kelele huko!! Eti Lowassa aishukia serikali, yeye akiwa na mtaji gani wa UADILIFU KI-UONGOZI vile, my foot!!!!
Hii Movie anayocheza EL (Presidential Election 2015) nataka kujua kama Sterling mwisho wa picha atakufa au hatakufa!