Lowassa ajipanga kuihama CHADEMA

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Wakuu wa Wilaya Waliotemwa na Magufuli, Wabunge wa sasa kumfuata.
11-1.jpg
 
Huyu mwamba wa Kaskazini nakumbuka ndo alipunguza ruzuku ya Magamba na kuwaongezea CHADEMA waliopata 40%, huku Magamba yenyewe yakiwa na 58% ambayo imeweka rekodi mbaya kwa chama hicho toka pale Tanzania ilipopata uhuru. Kamwe Magamba hawatamsahau huyu jamaa.
 
Huyu mwamba wa Kaskazini nakumbuka ndo alipunguza ruzuku ya Magamba na kuwaongezea CHADEMA waliopata 40%, huku Magamba yenyewe yakiwa na 58% ambayo imeweka rekodi mbaya kwa chama hicho toka pale Tanzania ilipopata uhuru. Kamwe Magamba hawatamsahau huyu jamaa.
ccm hatuna kumbukumbu zake.
 
Siyaamini magezeti ya kibongo
Bora jf napata ukweli kuliko magezeti yetu yapo kibiashara sana
 
KITENGO CHA PROPAGANDA CHA CCM,CHA CHACHAMALIA MAMBO YASIYOWEZEKANA...
Mara mnyika,sasa lowassa baadae nani?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom