Lowassa ajifunze kutoka kwa Ridhwani Kikwete!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni mtoto wa Rais mstaafu wa JMTZ Ridhwani Kikwete ananifurahisha sana, yeye amewekeza muda wake mwingi na kwenye kurudisha kwa Wananchi alichokivuna, kila siku utamuona kachangia fedha hapa , kafungua hospitali pale n.k. hivyo Lowassa alipaswa ajifunze nakuiga kutoka kwa R.Kikwete jinsi ya kurudisha kwa Wananchi badala ya kupiga picha na kuwakejeli masikini ukiwa kwenye ranchi yetu ambayo uliipora, grow up man Lowassa, kwa umri wako hii aibu kuwakejeli Wananchi masikini namna hii, angalau piga picha ukitoa mchango kwa Wananchi na sio kutuonyesha wewe na Familia yako mkikagua ranchi yetu huo siyo ukomavu.

Ridhwani
proxy


vs
Lowasa
img-20161226-wa0092-jpg.450659
 
Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni mtoto wa Raisi mstaafu wa JMTZ Ridhwani Kikwete ananifurahisha sana, yeye amewekeza muda wake mwingi na kwenye kurudisha kwa Wananchi alichokivuna, kila siku utamuona kachangia fedha hapa , kafungua hospitali pale n.k. hivyo Lowasa alipaswa ajifunze nakuiga kutoka kwa R.Kikwete jinsi ya kurudisha kwa Wananchi badala ya kupiga picha na kuwakejeli masikini ukiwa kwenye ranchi yetu ambayo uliipora, grow up man lowasa, kwa umri wako hii aibu kuwakejeli Wananchi masikini namna hii, angalau piga picha ukitoa mchango kwa Wananchi na sio kutuonyesha wewe na Familia yako mkikagua ranchi yetu huo siyo ukomavu, ...

Ridhwani
proxy


vs
Lowasa
img-20161226-wa0092-jpg.450659

Ndoto za kumuota lowassa haikuishi tu.basi kuna kila dalili hata mkeo anamuota lowassa
 
Alafu huyo Riziwani amepata wapi fedha za kurudishia wananchi wakati anajitetea kuwa hana mali?

Mbona mnamuharibia mwenzenu?

Na kama ana mali kazipata wapi?

Ufisadi on flek
 
Kila siku nasema hizi Buku7 za patrice lumumba zinaharibu vijana wetu hata wangekuwa wanazilia ugali kuliko viroba
Huwezi kupata sense ya point ya mtoa post kwa vile ukiwa nyumbu , ni ngumu sana kufikiri vitu vya msingi, hivi uliwahi kumuona Mamvi wako amesaidia chochote kanisani au msikitini au ata kwa wananchi toka ameukosa urais?
 
VILA.ZA
1.BARBAROSA
2.LIZABONI
3RUTASHOBOLWA

Nyie ni wagonjwa wa akili bila kumsahau faiza foxy

Watu tunajadili kupanda kwa umeme nyie kama kawaida yenu kuendekeza unazi tu

Mtaolewaaa
Ulishawahi kujadili kupanda kwa tozo la abiria UBT na parking za magari jijini dar?
 
Huwezi kupata sense ya point ya mtoa post kwa vile ukiwa nyumbu , ni ngumu sana kufikiri vitu vya msingi, hivi uliwahi kumuona Mamvi wako amesaidia chochote kanisani au msikitini au ata kwa wananchi toka ameukosa urais?
Kila siku nasema hapa lumumba kumejaa mas....
 
Bora hata alipokuwa ccm alikuwa anatoa kuliko alipoenda chadema sisikii kabisa kutoa hata mil.10 ccm ilikuwa ml.100,200,300.
 
Haki maelezo yako yanaonyesha wazi kuwa umelipwa na riziwani au ccm wenyewe ! Hapa Lowassa anahucka nn na komedi za riziwani kutafuta huruma ya wananchi ili wacmfichulie maoilcom yake,na Mali zake zenye mazongemazonge !oanisha watu na mambo yao ukiwa na uhakika wa unachokisema bila kujali njaa yako ! Mungu akuponye ktk udhaifu huo Amen
 
Back
Top Bottom