BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
"Jamani hapa tunajenga chama, watu wanasubiri kusikia tukimaliza kikao chetu kwa ugomvi, naomba tumalize kwa amani na twendeni tukajenge chama chetu"
Nimeyapenda haya maneno ya mwenyeketi. Yamejaa busara na hekima tele.
Tangu lini Kikwete akawa na hekima na busara!? kama ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na mpasuko mkubwa ndani ya magamba ambao umedumu kwa miaka michache iliyopita na wala nchi yetu isingekuwa inaenda mrama katika kila idara....Wakati mwingine tuweke unazi wa vyama pembeni na tuwe wakweli katika kutetea maslahi ya nchi yetu badala ya yale ya chama!!!!