Lowassa ahudhuria tukio la kuwekwa wakfu Askofu Jackson Nasoore wa Nairobi Kenya

mpk

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
3,115
3,862
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa amehudhuria kusimikwa wakufu kwa Askofu mkuu wa kanisa Anglikana la Kenya Arch Bishop Jakson Ole Sapit leo jijini Nairobi. Ibada hiyo imehudhuriwa pia na rais wa Kenya Kenyatta na makamu wa rais wa nchi hiyo Wiliam Rutto.

Kutoka Tanzania kanisa Anglikana limewakilishwa na baba Askofu wa dayosisi ya Mpwapwa ambaye pia ndiye aliongoza mahubiri. Lowassa amekutana na viongozi wakuu wa Kenya na kufanya mazungumzo ambayo hata hivyo hayajawekwa wazi.

IMG-20160703-WA0021.jpg
IMG-20160703-WA0018.jpg
IMG-20160703-WA0017.jpg
 
Leo tarehe 3 julai Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward N Lowassa alikua moja wa wageni waalikwa sambamba na Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta, katika tukio kubwa la kumuwekea wakfu Askofu wa jimbo kuu la kanisa la Anglikana Kenya, Askofu Dr. Jackson Nasoore Ole Sapit iliyo fanyika kwenye kanisa la "All Saints Cathedral Nairobi".
 

Attachments

  • IMG-20160703-WA0020.jpg
    IMG-20160703-WA0020.jpg
    117.8 KB · Views: 142
  • IMG-20160703-WA0021.jpg
    IMG-20160703-WA0021.jpg
    154.2 KB · Views: 120
  • IMG-20160703-WA0017.jpg
    IMG-20160703-WA0017.jpg
    89.3 KB · Views: 132
  • IMG-20160703-WA0016.jpg
    IMG-20160703-WA0016.jpg
    72.9 KB · Views: 111
  • IMG-20160703-WA0018.jpg
    IMG-20160703-WA0018.jpg
    67.8 KB · Views: 130
Leo tarehe 3 julai Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward N Lowassa alikua moja wa wageni waalikwa sambamba na Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta, katika tukio kubwa la kumuwekea wakfu Askofu wa jimbo kuu la kanisa la Anglikana Kenya, Askofu Dr. Jackson Nasoore Ole Sapit iliyo fanyika kwenye kanisa la "All Saints Cathedral Nairobi".
Lowasa bado anaendelea kuheshimika siyo tu hapa tanzania bali hata nje ya mipaka ya nchi
 
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa amehudhuria kusimikwa wakufu kwa Askofu mkuu wa kanisa Anglikana la Kenya Arch Bishop Jakson Ole Sapit leo jijini Nairobi. Ibada hiyo imehudhuriwa pia na rais wa Kenya Kenyatta na makamu wa rais wa nchi hiyo Wiliam Rutto
Hivi nia ya uzi huu ni nini? Jee Lowasa amehudhuria kama Waziri Mkuu Mstaafu? Hakuna sababu yo yote ya kutaja ustaafu wake. Kama angekuwa anahudhuria kwa niaba ya serikali hapo ndiyo ungetaja ustaafu wake.
 
Back
Top Bottom