Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,902
- 95,190
Nenda mahakamani upinge basi maana unaonekana kukerwa na mh lowasa kuitwa waziri mkuu mstaafu wa tanzaniaHivi nia ya uzi huu ni nini? Jee Lowasa amehudhuria kama Waziri Mkuu Mstaafu? Hakuna sababu yo yote ya kutaja ustaafu wake. Kama angekuwa anahudhuria kwa niaba ya serikali hapo ndiyo ungetaja ustaafu wake.