Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
lowasa na jembe...2015 ccm waktaka ushndi wampe LOWASA Wakikosea kwa sababu ya chuki bnafs za kna membe watajuta
Au waziri mkuu aliyefanya mkuu wa kaya akabuni wazo la kujivua gamba kampenii ilyoshindwaNa isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
kutafuta uraisi makanisani
Lowasa hajawahi kuwa waziri mkuu mstaafu. Usipotoshe umma kwa kuvimbisha tumbo lako
Na msigwa naye yumo?
Na isomeke:Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
Naomba nikurekebishe kwanza, sio waziri mkuu mstaafu, ni waziri aliyejiuzulu kwa kashfa ya yeye kuibia serekali mabilioni ya shilingi.kupitia kampuni zake hewa za mfukoni Richmond na dowans.Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.