KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
HUDUMA YA TB CHUKIZO LA UHARIBIFU AFRIKA
Mathayo 7:7-11
(a) Ombeni Nanyi mtapewa
(b) Tafuteni nanyi mtaona
(c) Bisheni nanyi mtafunguliwa
(d) Kwa maana kila aombaye hupokea
(e) Naye abishae atafunguliwa
(f) Au kuna mtu kwenu ambaye mwanae alimuomba mkate akapewa jiwe?
(g) Au akiomba Samaki akapewa Nyoka?
HOJA ZA MSINGI
(1) SASA INAKUAJE WATU 115 WATOKE MATAIFA MBALI MBALI WAENDE KWA TB JOSHUA KUMBA UZIMA WAKA AMBULIA MAUTI ????
(2) ROHO YA MAUTI INATOKA KWA SHETANI NA HAPO TUNAPATA PICHA KWAMBA TB JOSHUA NI MTOTO WA SHETANI KIROHO
(3) HUDUMA YA TB ILIJENGWA KWA MISINGI YA SHETANI NA IKAWA SANAMU ILIYOINULIWA BARA LA AFRIKA NA KUPALILIWA NA WAFALME DHALIMU WENYE KUPENDA MADARAKA NA HIVYO IKAWA CHUKIZO LA UHABIFU MBELE ZA MUNGU ALIYE HAI.
(4) MARAIS WENGI, WAFANYA BIASHARA WENGI, WATAWALA WENGI WAMEKUWA WANAKWENDA HAPA KUNUNUA MAJI YA KISHIRIKINA NA BAADA YA HAPO WANAMUINUA TB NA KAZI ZAKE NA SIO YESU HAPA HAKUNA TOFAUTI NA HUDUMA YA KIKOMBE CHA BABU WATAWALA WENGI WALIFIKA HAPO LOLIONDO NA KUNYWA KIKOMBE NA MWISHO WALIKIINUA KIKOMBE NA SIO YESU, MWISHO WA SIKU WATU WENGI WAMEKUFA KWENYE FOLENI YA KIKOMBE
(5) UMATI ULIFULIKA KWA TB HAUWEZI KUTHIBITISHA KUWA HAPO KUNA MUNGU WA KWELI KWA KUWA NJIA IENDAYO UZIMANI NI NYEMBAMBA NA KUNA WATU WACHACHE WANAPITA NA NJIA IENDAYO KUZIMU NI PANA NA KUNA KUNDI KUBWA HAPO.
(6) WATU WOTE WANAO KWENDA KWA TB AMBAPO TB ANADAI KUWA NI HUDUMA YA KILOKOLE HAWATUBU DHAMBI . TUMESHUHUDIA WATAWALA KUTOKA TANZANIA NA MALAWI WANAKWENDA KUTAFUTA UTAWALA HUKO HUKU WAKIKWEPA TOBA NA WANAPOREJEA WANAENDELEA NA WIZI NA MACHAFUKO.
(7) Hata Babu wa Loliondo alisema kwamba umati wa kutisha zaidi ungekwenda kwake tena. Mpaka kesho, hilo halitakaa litokee tena!
(8) Huduma ya Joshua ilijengwa kwenye mchanga: Kutabiri maafa!!!! Nani mjinga atakayemsikiliza tena Joshua akitabiri maafa, baada ya Jengo lake mwenyewe kuanguka na kuua watu 115, bila Joshua mwenyewe kutabiri juu ya hilo kabla????
(9) Huduma ya TB Joshua kwa kuwa ilitoka kwa Ibilisi, imefikia kikomo, kama huduma za Theuda na Yuda Mgalilaya, katika Biblia (MATENDO 5:36-37). "Tazama yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena" (AYUBU 12:14).
(10) HAIJAPAKUTOKEA KATIKA BIBILIA AMBAPO MTUMISHI WA MUNGU ALIKUSANYA WATU KWA AJILI YA NENO LA MUNGU ALIYEHAI KWA NIA YA KUTUBU NA KUMUSIKILIZA NA KUSIKILIZA NENO LA MUNGU HARAFU WATU 115 WAKAFA KABLAYA TOBA.
(11) UPO USHAHIDI WA KUTOSHA NDANI YA BIBLE KUWA MUNGU ALIANGAMIZA WATU PALE WALIPOKUSANYIKA KINYUME CHAKE NA KUASI NENO HUKU WAKIFANYA DHAMBI YA ZINAA NA ZINGINEZO.
Mathayo 7:7-11
(a) Ombeni Nanyi mtapewa
(b) Tafuteni nanyi mtaona
(c) Bisheni nanyi mtafunguliwa
(d) Kwa maana kila aombaye hupokea
(e) Naye abishae atafunguliwa
(f) Au kuna mtu kwenu ambaye mwanae alimuomba mkate akapewa jiwe?
(g) Au akiomba Samaki akapewa Nyoka?
HOJA ZA MSINGI
(1) SASA INAKUAJE WATU 115 WATOKE MATAIFA MBALI MBALI WAENDE KWA TB JOSHUA KUMBA UZIMA WAKA AMBULIA MAUTI ????
(2) ROHO YA MAUTI INATOKA KWA SHETANI NA HAPO TUNAPATA PICHA KWAMBA TB JOSHUA NI MTOTO WA SHETANI KIROHO
(3) HUDUMA YA TB ILIJENGWA KWA MISINGI YA SHETANI NA IKAWA SANAMU ILIYOINULIWA BARA LA AFRIKA NA KUPALILIWA NA WAFALME DHALIMU WENYE KUPENDA MADARAKA NA HIVYO IKAWA CHUKIZO LA UHABIFU MBELE ZA MUNGU ALIYE HAI.
(4) MARAIS WENGI, WAFANYA BIASHARA WENGI, WATAWALA WENGI WAMEKUWA WANAKWENDA HAPA KUNUNUA MAJI YA KISHIRIKINA NA BAADA YA HAPO WANAMUINUA TB NA KAZI ZAKE NA SIO YESU HAPA HAKUNA TOFAUTI NA HUDUMA YA KIKOMBE CHA BABU WATAWALA WENGI WALIFIKA HAPO LOLIONDO NA KUNYWA KIKOMBE NA MWISHO WALIKIINUA KIKOMBE NA SIO YESU, MWISHO WA SIKU WATU WENGI WAMEKUFA KWENYE FOLENI YA KIKOMBE
(5) UMATI ULIFULIKA KWA TB HAUWEZI KUTHIBITISHA KUWA HAPO KUNA MUNGU WA KWELI KWA KUWA NJIA IENDAYO UZIMANI NI NYEMBAMBA NA KUNA WATU WACHACHE WANAPITA NA NJIA IENDAYO KUZIMU NI PANA NA KUNA KUNDI KUBWA HAPO.
(6) WATU WOTE WANAO KWENDA KWA TB AMBAPO TB ANADAI KUWA NI HUDUMA YA KILOKOLE HAWATUBU DHAMBI . TUMESHUHUDIA WATAWALA KUTOKA TANZANIA NA MALAWI WANAKWENDA KUTAFUTA UTAWALA HUKO HUKU WAKIKWEPA TOBA NA WANAPOREJEA WANAENDELEA NA WIZI NA MACHAFUKO.
(7) Hata Babu wa Loliondo alisema kwamba umati wa kutisha zaidi ungekwenda kwake tena. Mpaka kesho, hilo halitakaa litokee tena!
(8) Huduma ya Joshua ilijengwa kwenye mchanga: Kutabiri maafa!!!! Nani mjinga atakayemsikiliza tena Joshua akitabiri maafa, baada ya Jengo lake mwenyewe kuanguka na kuua watu 115, bila Joshua mwenyewe kutabiri juu ya hilo kabla????
(9) Huduma ya TB Joshua kwa kuwa ilitoka kwa Ibilisi, imefikia kikomo, kama huduma za Theuda na Yuda Mgalilaya, katika Biblia (MATENDO 5:36-37). "Tazama yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena" (AYUBU 12:14).
(10) HAIJAPAKUTOKEA KATIKA BIBILIA AMBAPO MTUMISHI WA MUNGU ALIKUSANYA WATU KWA AJILI YA NENO LA MUNGU ALIYEHAI KWA NIA YA KUTUBU NA KUMUSIKILIZA NA KUSIKILIZA NENO LA MUNGU HARAFU WATU 115 WAKAFA KABLAYA TOBA.
(11) UPO USHAHIDI WA KUTOSHA NDANI YA BIBLE KUWA MUNGU ALIANGAMIZA WATU PALE WALIPOKUSANYIKA KINYUME CHAKE NA KUASI NENO HUKU WAKIFANYA DHAMBI YA ZINAA NA ZINGINEZO.