midoalbida
Member
- Nov 1, 2011
- 16
- 4
uko sahihi sana nilifikiri kuna vichwa vibovu tu kumbe vizima vipo shukran sanaTaarifa hiyo ni ya kupikwa na gazeti la Tanzania Daima ambalo linamilikiwa na Mbowe,huo ni mkakati endelevu wa kumchafua ZITTO KABWE na chama cha ACT, CDM wana kiwanda cha kupika uongo.