ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 642
Kwa muda mrefu sasa nimemsikiliza Mgombea wa chadema kupitia mwamvuli wa ukawa bwana lowassa akipita sehemu nyingi na kusema serikali ya CCM haijafanya kitu.Mara nyingk sehemu hizo hua ni zile ambazo yeye hakuhusika kuleta maendeleo lakin akipita sehemu ambazo alihusika katika kuleta jambo fulani basi utamsikia anasema yeye binafsi ndo alileta jambo hilo mathalani juzi alipokua wilayani hanang alisema yeye ndo alileta maji ...Sasa swali la kujiuliza hapo ni alileta maji akiwa ndani ya chama gani au huo uamuzi aliufanya bila kupata baraka za maboss wake (RAIS) ambaye pia ni mwenyekiti wake wa CCM taifa??Namshauri ndugu lowassa aache ulaghai , uongo na ubinafsi huezi kusema eti wewe kama wewe ulifanya jambo fulani na sio serikali .Huu nauita ni ubabaishaji wa kisiasa penye ukweli wacha ukweli useme na sio kuwaongopea wanachi.