Lowassa aanza kueleweka, atoa agizo kwa wananchi...

Wanaowaunga mkono wana maslahi yao binafsi.Hivi wewe unaishi nchi gani hata hujui yanayojili?je unafahamu kuwa aliwahi kuwa PM?ni kwanini aliacha?je unafahamu msimamo wa baba wa taifa juu yake?je fedha anazotoa kila siku makanisani na kwenye matamasha kazipata wapi?je huu ni wema wake tu au anategemea return fulani?na kwanini utumie hela nyingi hivyo kuutafuta uraisi?Ikulu kuna biashara gani itakayokurudishia hela zako.Funguka macho,chukua hatua...
 
Dah! Tatizo la watanzania ni ushabiki ! Ushabiki hua hauna faida kwa mshabiki ,mara nyingine ushabiki ni hasara km tunavyoona mtu anaweka rehani nyumba kwa ajili ya mechi ya timu mbili zinapocheza . Sasa ushabiki umekuja kwny siasa! Wasomi wa kitanzania wanaipotosha jamii kwa maksudi. Hivi ni kweli kwmb Lowasa alipokua amepewa madaraka kwny serika za awamu zote hakufanya kitu.? Hivi ni kweli kwmb Lowasa alipokua waziri mkuu hakufanya Chochote? Ni lazima tujiulize hakufanya chochote ukimlinganisha na nani? Na ni waziri mkuu yupi aliyesifiwa akiwa hai kama sio marehemu sokoine anayesifiwa na wakatoliki kwa lengo la kutaka kumtangaza mwenye heri baadae! Je,unafikiri angekua hai asingeitwa fisadi wakati alikua na wake wengi na mshahara wake ulikua mdogo angewamudu vipi bila kuwa na utajiri wa kimasai kama Lowasa? Watanzania wote wamepungukiwa na uadilifu kwa namna moja ama nyingine kama sio wa kiroho ni wa kimwili. Kuna walioko madarakani muda mrefu na wamegawana dili zote lakini wakaishia kwenye starehe za kuzaa watoto kila mkoa! Lowasa ameonyesha uwezo wa kusimamia hata fedha anazopata kwa kuziwekeza na hatimaye kuwa tajiri. Chuki dhidi ya Lowasa imepandikizwa kama chuki ya wanauamsho dhidi ya makanisa! Ni dhambi kubwa kumchukia mtu kwa sababu ya dhehebu lake au dini yake ,au kabila lake!
Baba wa Taifa aliwahi kusema kuwa kiongozi mpuuzi anapokosa legitimacy anaanza kuitafuta kwenye kabila lake,na akiikosa huko anaanza kuitafuta kwenye dini yake.Sasa haya mambo ya dini na kabila yametoka wapi,si ni muendelezo wa upuuzi ule ule?
 
Back
Top Bottom