Gigo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2006
- 456
- 46
Ina shangaza Siku zina pita...nyie kama viongozi Bado Hamuonyeshi upendo kwa wananchi wenu Wanao wachagua..Hamchangii vizuri fikra zenu Kama inavyo stahiki...
Hai vuutii kwa kiongozi kama wewe Kujitetea Hovyo hovyo kama una vyo fanya...Mimi bado nina amini ulitapeliwa...sema ukweli Lowasa..
Tuna hitaji kitabu Chako...!! tuta vitumia hata kwenye Mitaala ya shule zetu...hata Chuo kikuu ca dodoma Wana ki hitaji...
Sisi vijana tuta pata hela Kila tunapo Uza Richmond FACT book!!
Tumia muda vizuri...
Thank you...!!
Hai vuutii kwa kiongozi kama wewe Kujitetea Hovyo hovyo kama una vyo fanya...Mimi bado nina amini ulitapeliwa...sema ukweli Lowasa..
Tuna hitaji kitabu Chako...!! tuta vitumia hata kwenye Mitaala ya shule zetu...hata Chuo kikuu ca dodoma Wana ki hitaji...
Sisi vijana tuta pata hela Kila tunapo Uza Richmond FACT book!!
Tumia muda vizuri...
Thank you...!!