Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Natumai sifa za watu hawa zinajulikana hapa jamvini.1. E.Lowasa-waziri mkuu mstaafu.. mbunge wa monduli.2. F.Sumaye-waziri mkuu awamu ya 33. H.Mwinyi(PhD)-waziri wa mambo ya ndani, ulinzi na usalama.Mtoto wa rais mstaafu.4. R.Migiro(PhD)-naibu katibu mkuu UN5. I.Lipumba(Prof)-M/kiti CUF, Mchumi.6. W.Slaa(PhD)-Katibu mkuu CHADEMA, Mwanaharakat/mwanamageuzi. Toa maoni yako nani anatufaa 2015 bila kujali JINSIA, DINI, KABILA wala ITIKADI YA CHAMA.