Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
siku ya mazishi ya hayati Sumari nimemuona mheshimiwa pm mstahafu bwana Lowasa amebadilika sana kiafya tena nilivyomsogelea kumtazama anasalimia na watu kadhaa namuona anatetemeka ile tetemeka ya kuumwa vipi mzee nae ana sukari nini?