Ni edward lowasa wazri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya umeme wa richmond, sasa yupo nyuma ya pazia la kutopatikana kwa katiba mpya, why? Yeye ametumia zaidi ya tshs 345bilioni kuusaka uraisi wa jamhuri ya muungano, andhani katiba mpya itatibua mbio zake urais 2015, tujadili
source: Mazungumzo yangu na yeye monduli wiki hii
source: Mazungumzo yangu na yeye monduli wiki hii