mpondamali
JF-Expert Member
- Sep 5, 2011
- 499
- 174
I can't buy the idea....bado I can c JPM ndani ya IKULU 2021 maana bado ana UNFINISHED BUSINESS
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ana u smart kwenye nini ? CCM unaijua vizuri ? Kamuulize Mkapa kwanini hakumuweka Salim A Salim akaingia JakayaMagufuli ni Smart Sana kama wanataka kujaribu kina cha maji kwa mguu Shauri yao.
sent by using AK 47Dah....kunywa maji mengi...pumzika...pombe ikiisha kichwani..njoo ucomment kwenye Uzi huu huu
Sent using Beretta ARX 160
Ndio
Lowasa ni sehemu ya mkakati mkubwa ndani na nje ya Chama wa Kumtoa Magufuli Ikulu.
Wanamtandao sasa wana amani moyoni kwani mwenyekiti wa kamati ya fitina pamoja na katibu wake wako ndani ya nyumba.
Wanamtandao ni wataalamu wa siasa chafu,Mtu pekee anayeweza kuwamudu wanamtandao ni mwanamtandao.Mwanamtandao pekee aliyewashinda wanamtandao ni Kikwete na bado yupo kwenye mtandao tena katika team ile ile ya wazee wa kupika ugali sumu.
Mkakati ni rahis sana hata mtoto wa cheke chea anajua.
Mfanye ajisikie salama.
Wawezeshe Wapinzani kimkakati
Weka wazi makosa yake
Muache wakati wa kampeni ateseke mwenyewe
Mbwage ama kwa kura au kwa rungu
So watanzania mjindae 2021 tutakuwa na sura mpya Ikulu.
Kuota ni ishara ya afya njema ya ubongo.
Kama nanusa kitu!
itakuwa ulikuwa umelewa....
itanoga sanaMara paaap, Lowasa na Membe wanachukua fomu 2020 CCM
Sent from my iPhone using JamiiForums
wanazungukana
Hivi ninyi watu hua mnavuta sigara gani? Ama mnavuta kule kwetu tunaita KALIKOMA MWENIwanazungukana