R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Mheshimiwa lowasa ni mtu aliyejipambanua kuwa tatizo kubwa la ajira
akisema ni bomu kwa nchi ; lakini baada ya kuja ukawa ; kabadili jia angani kaja na kipaumbele cha elimu badala ya ajira;
akijuwa wazi tatizo sio elimu; bomu la ajira ndo tatizo.
Swali; kwanini kabadili gia angani???????
akisema ni bomu kwa nchi ; lakini baada ya kuja ukawa ; kabadili jia angani kaja na kipaumbele cha elimu badala ya ajira;
akijuwa wazi tatizo sio elimu; bomu la ajira ndo tatizo.
Swali; kwanini kabadili gia angani???????