Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
mimi naona huyu Sheikh Freeman bin Mbowe pamoja na uhuni wake nadhani atatufaa zaidi kuliko huyu Edward "MoU" Lowassa
Mtu unaweza kufikiria kuwa Lowassa kajifunza kitu kumbe hana lolote bado anawendelea kuwadharau waislam
ushahidi huu hapa:
Kumbe mtu akivaa kanzu tu. Tayari anafaa kuwa rais.