this is disgusting! nimeona picha kule michuzi blog nikashangaa sana....hata hafananii kabisa kuwepo kwenye mkusanyiko ule..wenzie wamevaa white yeye kapigilia black kama msibani...by the way aliitwa? hii pia ni dharau ya imani ....kampeni yake inakwenda kasi sana.
inasemekana ana booking ya muda mrefu sana ya kuchangia ujenzi wa makanisa kote nchini. hizo pesa alizichuma lini na wapi kwa njia gani? viongozi wa dini hizi kwa nini hawaoni kuwa ni machukizo kumkaribisha mtu kama huyu kwenye sehemu za ibada akiwa na lengo la kisiasa na sio kuabudu? katika ukiristo inasemwa wazi kuwa sadaka ya muovu ni chukizo(The sacrifice of the wicked is an abomination to the LORD, But the prayer of the upright is His delight. Proverbs 15:8 ).....makanisa na misikiti inayojengwa kwa pesa chafu au pesa zenye hila ya kisiasa ni chukizo na hakika wanaomualika wanatenda dhambi
inasemekana ana booking ya muda mrefu sana ya kuchangia ujenzi wa makanisa kote nchini. hizo pesa alizichuma lini na wapi kwa njia gani? viongozi wa dini hizi kwa nini hawaoni kuwa ni machukizo kumkaribisha mtu kama huyu kwenye sehemu za ibada akiwa na lengo la kisiasa na sio kuabudu? katika ukiristo inasemwa wazi kuwa sadaka ya muovu ni chukizo(The sacrifice of the wicked is an abomination to the LORD, But the prayer of the upright is His delight. Proverbs 15:8 ).....makanisa na misikiti inayojengwa kwa pesa chafu au pesa zenye hila ya kisiasa ni chukizo na hakika wanaomualika wanatenda dhambi