Lowasa Alikuwa Akitoa Tenda za Ujenzi kwa Kampuni za Kuuza Maziwa ya Nido...Hafaiiiiii!!!!

Muu uniwie radhi, nilikuwa namlenga Prophet anayeonyesha chuki za wazi kwa kuleta taarifa za majungu ambazo wala hakuzipika vizuri, ila mimi na wewe tunaongea kitu kimoja. Anyway nafikiri vilevile hakuna sheria inayoweka mipaka kwenye biashara as long long as mfanya biashara anasajili kisheria, ana capacity ya kufanya kazi fulani na ana mtaji. Inaonyesha Prophet si mtu makini ajaribu kwenda pale BRELA akachukue Memorandum and Articles of Association za kampuni yeyote aone jinsi wafanyabiashara wanvyoruhusiwa kufanya shughuli mbalimbali kadri ya sheria ya makampuni rura 212.Aunimpe mfano wa Kampuni ya TATA ya India ambayo inaoknekana Tanzania ikijihusisha na biashara ya magari. Huko kwao wapo hadi kwenye viwanda vya madawa, stationery na ujenzi. Kwa hiyo si ajabu Muuza maziwa ya NIDO kutengeneza biashara kama tu ana vigezo
Usijali Mkuu, Naona Prophet ameukimbia mjadala aliouanzisha.
 
Lowassa anatakiwa awe wa kwanza kuchukua maamuzi magumu kwa kujiuzuru nafasi zote za uongozi ndani ya chama cha Magamba na ubunge hapo tunaweza kumwelewa,anataka maamuzi gani magumu wakati yeye si muumini wa maamuzi magumu.
 
kwani tenda ya richmond ilikuwaje?mbona mnasahau haraka?kuhusika kwa el kulithibitishwa na kamati ya bunge ktk kutoa maelekezo ili wale wezi washinde,ppra walikuwaepo na tanesco walikuwepo
kila kitu kinawezekana bongo

richmond -dowans - symbion! Mtamkumbuka sana el.
 
But one thing you don't know about this thief is wakati akiwa Waziri Mkuu, Lowassa alikuwa akiruhusu kampuni za kusambaza maziwa ya Nido kwenye taasisi za serikali kupewa tenda za ujenzi wa barabara na ujenzi wa majengo. Kama nchi, kama tutarogwa, kwa namna yoyote ile kumpitisha Lowassa kuwa mgombea wa chama chochote cha siasa, Urais wa JMT, tutajuta. Wakati wa Lowassa baadhi ya wafanyabiashara waliiweka nchi mifukoni mwao. Kuna wakati niliwahi kumnukuu mfanyabiashara mmoja, ambaye kampuni yake hufanya kazi ya kuuza maziwa ya Nido na sukari na majani ya chai, lakini ina tenda za kutengeneza Barabara akimuagiza mmoja wa wabunge aliyekuwa mjengoni azungumze jambo fulani lenye interest na yeye.

Mkuu ungetusaidia kidogo tukajua hiyo Nido ilipewa tenda ya kujenga barabara ama jengo gani? Pia kama Nido hairuhusiwi kujenga barabara ama majengo. Inabidi ujue kwamba kampuni inaweza kuwa inaruhusiwa kufanya kazi nying sana kwa mujibu wa MEMART yake hivi isije kukuta na Nido pia inaruhusiwa kufanya kazi za construction. Tupe zaidi nadhani una mengi kwa kuwa umeandika kwa uchungu mno!
 
Lowassa anatakiwa awe wa kwanza kuchukua maamuzi magumu kwa kujiuzuru nafasi zote za uongozi ndani ya chama cha Magamba na ubunge hapo tunaweza kumwelewa,anataka maamuzi gani magumu wakati yeye si muumini wa maamuzi magumu.

Lowassa ninayemjua mimi maamuzi magumu anaweza kuyachukua pale anapokuwa ana kitu ambacho ana maslahi nacho, tena hapo hata ikibidi kufuta sheria zote atafanya, kama alivyofanya katika Richmond.
 
mmeshaingiza siasa kama kawaida yenu .... naenda kulala,....
Mkuu go back to my post.Nilichoonesha hapo ni mshangao wangu kuhusu madai ya mwanzisha thread- ndiyo maana kuna question marks kibao, huenda hukuelewa style yangu ya presentation, nilichotaka kusema kwa kifupi ni hicho ulichosema wewe kwamba sheria haimpi room mtu asiye member wa procurement committee kutoa Tenda, ila mwanzisha thread alipashwa (kama aliona ni lazima kuweka hiyo thread yake) kutushawishi kwamba PM aliingilia mchakato wa utoaji zabuni, hili nimelishuhudia katika maeneo ambako nilikuwa member wa hizo committees na lilikuwa linafanyika wakati wa evaluation, ambapo anaependelewa kupewa Tenda hupewa weak competitors, ingawa mara zote tuliamuru kutolewa kwa tangazo upya.
 
Back
Top Bottom