The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
Sikushangaa kusikia tarifa kuwa wabunge wa CCM walimshangilia Edward Lowassa wakati akichangia hoja bungeni. Sikushangaa ndiyo kwa sababu Lowassa, Kikwete, Rostam na wenzao ni watu wa Rushwa. Pia sikushangazwa na mlolongo wa Posts zilizokuwa zinarushwa JF za kumpigia kampeni huyu mwizi(Lowassa). Lowasa ni mtu wa rushwa. Alishanunua wabunge wa kumshangilia, alishanunua members wa JF, alishajiandaa kushangiliwa ili kukonga nyoyo zetu.
But one thing you don't know about this thief is wakati akiwa Waziri Mkuu, Lowassa alikuwa akiruhusu kampuni za kusambaza maziwa ya Nido kwenye taasisi za serikali kupewa tenda za ujenzi wa barabara na ujenzi wa majengo. Kama nchi, kama tutarogwa, kwa namna yoyote ile kumpitisha Lowassa kuwa mgombea wa chama chochote cha siasa, Urais wa JMT, tutajuta. Wakati wa Lowassa baadhi ya wafanyabiashara waliiweka nchi mifukoni mwao. Kuna wakati niliwahi kumnukuu mfanyabiashara mmoja, ambaye kampuni yake hufanya kazi ya kuuza maziwa ya Nido na sukari na majani ya chai, lakini ina tenda za kutengeneza Barabara akimuagiza mmoja wa wabunge aliyekuwa mjengoni azungumze jambo fulani lenye interest na yeye.
Kama leo hii, mtu huyu Lowasa, ambaye mimi ninamuita mwizi, atatimiza ndoto zake za kuwa kiongozi wa nchi hii, basi pengo la masikini na tajiri litapanuka zaidi na litafikia deformation point. Kwa waliosoma Hooke's Law wanajua ninachomaanisha kuhusu deformation point.
Lowassa ni mtandao mmoja na kikwete. Watu hawa wameunda genge la watawala walafi wenye uchu wa madaraka wasio na huruma, ambao kwao, uongozi ni kujitajirisha kupitia madini yetu, Maziwa yetu, Bahari zetu, misitu yetu, Mbuga zetu na kila aina ya utajiri ulio katika nhi hii.
Kama Watanzania. Lazima kuwa makini. Genge la watu hawa ni kubwa. Wana fedha. Wanaweza kumnunua yeyote.
Lazima tuungane. Bunge, na hasa wabunge wa CCM ni watu wasaliti. Wanajifanya wawakilishi wa wananchi, lakini ukweli ni kuwa ni wawakilishi wa matumbo yao na mabwana zao ambao ni mafisadi.
Watanzania na hasa huko vijijini Amkeni!!!
But one thing you don't know about this thief is wakati akiwa Waziri Mkuu, Lowassa alikuwa akiruhusu kampuni za kusambaza maziwa ya Nido kwenye taasisi za serikali kupewa tenda za ujenzi wa barabara na ujenzi wa majengo. Kama nchi, kama tutarogwa, kwa namna yoyote ile kumpitisha Lowassa kuwa mgombea wa chama chochote cha siasa, Urais wa JMT, tutajuta. Wakati wa Lowassa baadhi ya wafanyabiashara waliiweka nchi mifukoni mwao. Kuna wakati niliwahi kumnukuu mfanyabiashara mmoja, ambaye kampuni yake hufanya kazi ya kuuza maziwa ya Nido na sukari na majani ya chai, lakini ina tenda za kutengeneza Barabara akimuagiza mmoja wa wabunge aliyekuwa mjengoni azungumze jambo fulani lenye interest na yeye.
Kama leo hii, mtu huyu Lowasa, ambaye mimi ninamuita mwizi, atatimiza ndoto zake za kuwa kiongozi wa nchi hii, basi pengo la masikini na tajiri litapanuka zaidi na litafikia deformation point. Kwa waliosoma Hooke's Law wanajua ninachomaanisha kuhusu deformation point.
Lowassa ni mtandao mmoja na kikwete. Watu hawa wameunda genge la watawala walafi wenye uchu wa madaraka wasio na huruma, ambao kwao, uongozi ni kujitajirisha kupitia madini yetu, Maziwa yetu, Bahari zetu, misitu yetu, Mbuga zetu na kila aina ya utajiri ulio katika nhi hii.
Kama Watanzania. Lazima kuwa makini. Genge la watu hawa ni kubwa. Wana fedha. Wanaweza kumnunua yeyote.
Lazima tuungane. Bunge, na hasa wabunge wa CCM ni watu wasaliti. Wanajifanya wawakilishi wa wananchi, lakini ukweli ni kuwa ni wawakilishi wa matumbo yao na mabwana zao ambao ni mafisadi.
Watanzania na hasa huko vijijini Amkeni!!!