Lowasa Alichafuka Wapi Mpaka Asafishwe?

Antsadism

Member
Mar 22, 2008
17
0
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?

Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.

Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.

Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu “anasafishwa” na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.

Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.

Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.

Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.

Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.
 
Hebu tondolee mawazo yako mufilisi. Kama huna la maana la kuandika bora ukae kimya kuliko kutaka kutetea mafisadi na chama cha mafisadi. Na wewe ni mmoja wa mafisadi au unanufaika kwa njia moja au nyingine na ufisadi walioufanya dhidi ya Watanzania?
 
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?

Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.

Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.

Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu "anasafishwa" na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.

Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.

Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.

Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.

Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.

Mkuu,

Unahitaji "proper" training ya kuhusu "spinning".

Ili uwe "successful spiner" inabidi uwe unaelewa kwa ukaribu mambo yoote yaliyojiri hapa forum hasa kuhusu huyo mheshimiwa unaejaribu kumwongelea.

Na hata kama utafanikiwa kufuzu kozi za "spinning" bado utakuwa na kibarua cha ziada ili ueleze ni kwanini Mheshimiwa E.Lowasa ni FISADI na alijiuzuru uwaziri mkuu kutokana na mambo ya KIFISADI.
 
............., mmhhhhhh!mi sitashangaa, aliyepost hii thread hapo akiwa lowassa mwenyewe.
 
Huyu bwana anakera hata kumjibu, ka-register mwezi wa tatu ila leo ndio kaota kuandika na kupost, kisha kaja na post zake zinazofuatana kila kona za kutetea mafisadi, katoka wapi huyu???????????????? Haweki source hata moja, kama hapa kamwaga porojo zake za kiuongo, na kusingizia magazeti.

Ingekuwa vizuri kama angekuwa na hoja ya kudiscuss sio vituko kama hivi!!

Source yako iko wapi?????????????
 
Huyu bwana anakera hata kumjibu, ka-register mwezi wa tatu ila leo ndio kaota kuandika na kupost, kisha kaja na post zake zinazofuatana kila kona za kutetea mafisadi, katoka wapi huyu???????????????? Haweki source hata moja, kama hapa kamwaga porojo zake za kiuongo, na kusingizia magazeti. Ingekuwa vizuri kama angekuwa na hoja ya kudiscuss sio vituko kama hivi!! Source yako iko wapi?????????????

Hawa ndio walimfanya mzee Nyimbo aulize "Alikwina?"
 
Kabla hamjauliza alichafuka wapi mwambie aseme aliwajibika kujiuzulu kwasababu zipi.
Then tutajua pa kuanzia.
Ahsante.
 
Freedom of speech at its best, as long as hulipi VAT unabwabwaja chochote utakacho! Hata kinyesi unaruhusiwa kukiita ugali- ruksa!
 
Walishawadanganya wananchi kuwa hata CHURA....RHUKSA!
Jamani...Nani asiyejuwa chura ni sumu na KITIMOTO NI KHARAM kwa wenzetu waislam?
Kweli MWALIMU ALITUCHAGULIA!
SASA UBABA WA TAIFA NI UPI HUO KAMA NYIE NDIO ALIWAWEKA MADARAKANI?
Ukitaka kujuwa kwanini hata sisi tulioko huku ughaibuni hatuna makosa...TEMBELEA HAPA JF!
UTAGUNDUA MENGI.
KWAMBA TAIFA LETU LINAHITAJI MABADILIKO...TENA SI TAIFA TU BALI AFRIKA NA DUNIA!
 
[QUOTE=Antsadism;236347]LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?



eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu "anasafishwa" na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.]



Go and get a life.........humpati mtu hapa!!!, but if you are really into it, go back to school.
 
Jamani huyo jamaa ant sijui ni KICHAA au kalogwa maana haeleweki na akisha weka hoja yake ya kipuuzi anatoweka.Ushari tu wana JF Tuachane nae
 
Huyu jamaa it is about time aanikwe wazi, ni huyu huyu jamaa mjinga mjinga niliyemsema kwenye topic moja ya Mtanzania na kilio cha Kapepe, yaani jamaa inapokuja kwenye attention na kujipitisha pitisha hata aibu huwa hana, aibu mtu mzima hii duh!

Alianza na Ze-Comedy na ushoga akaona watu wamerukia sana, sasa ndio huyu anaendelea tufike mahali topic zingine zisijibiwe, maana huu ni utoto kwa wale tunaomjua, mara kawa rafiki wa viongozi wa ccm, mara kawa Nchimbi duh jamaa sina hamu, halafu hapa JF yeye ni Chadema sana, wallahi hawa viongozi ni sisi wenyewe!
 
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?

Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.

Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.

Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu “anasafishwa” na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.

Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.

Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.

Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.

Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.

Kuna haja ya kumsaidia huyu mwenzetu. I guess kuwa yeye ni mtanzania lakini i really question his patriotism. Ninachofahamu ni kuwa Lowassa amechafuka na amejichafua kiasi kwamba hasafishiki. Alichafuka wapi? moja ya karibu kabisa ni Richmond, na nyingine ni ku-abuse ofisi ya PM. Kumfanya RA awe PM by proxy, na kuwadhalilisha wafanyakazi wengi wa halmshauri na ma-DC wakati yeye mwenyewe ndio bogus. Kama hujui haya ni machache tu, sasa wewe tuambie usafi wa Lowassa. Usije ukadhani hiki ni kigenge cha ignorants na idiots.
 
LOWASA ALICHAFUKA WAPI WAPI MPAKA ASAFISHWE?

Nilisoma uzushi mkubwa katika moja kati ya magazeti yatolewayo mara moja kwa wiki siku chache zilizopita.

Pamja na mambo mengine, gazeti hilo liliorodhesha viongozi kadhaa wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri, naibu mawaziri na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (NEC) ya chama cha Mapinduzi.

Katika orodha hiyo ya wajumbe wa NEC wamo wenyeviti na makatibu wa CCM wa baadhi ya mikoa nchini.
Kilichopotoshwa na gazeti hilo ni madai kuwa eti aliyekuwa waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Edward Lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu “anasafishwa” na viongozi hao kutokana na kile kinachodaiwa eti alihusika na mkataba wenye utata wa kampuni ya Richmond na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura mwaka 2006.

Wazushi wanajaribu kupotosha kwa kadri wawezavyo kuhakikisha kuwa ionekane Lowaqssa alifanya ufisadi katika suala hilo ingawa wanafafahamu ukweli kwamba hakuhusika hata kidogo.

Hata kujiuzulu kwake kutoka katika nafasi aliyokuwa nayo ni hatua ya kisiasa inayoweza tu kufanywa na viongozi wanatanguliza mbele maslahui ya nchi badala ya maslahi yao wenyewe.

Kama angekuwa na maslahi binafsi katika mkataba huo kamwe asingetaka kuuvunja mara mbili na kukataliwa na wanasheria, badala yake angejitahidi kuutetea kwa nguvu zote.

Kwa hiyo, ni uzushi uliovuka mpaka na pia ni uongo mkubwa kudai eti Lowassa anasafishwa wakati hajachafuka chochote.

Nenda kalale
 
wewe umesha choka wakuu ondoeni thread hii mbona huyu anataka kuturudisha nyuma dhidi ya mapambano ya waroho,walafi,wachoyo wachache kama yeye?Jamani ondoeni thread hii kama mnavyo ondoa nyingine.
 
mimi jamani nikiwa kama pilato tafathalini naomba nijue kinaga ubaga ufisadi wa lowasa maana bado sijaona realy kosa lake naomba mniweke sawa taratiibu bila jazba
 
Please, Ondoa upuuzi wako hapa, Hii siyo forum ya kutetea mafisadi. Nenda kaandike makala magazetini hasa yale ya Mheshimiwa Rost Tamu. Hivi unafikiri Wa Tanzania bado ni Wajinga utawaibia na kisha uje kuwatawala. Tunajua Agenda ya Lowasa na Mafisadi na wapambe wao ni kuutaka Urais Mwaka 2015, thubutu hamtapaona Ikulu tutawang'oa hata ikibidi kwa mtutu wa bunduki. Mmetuchosa.
 
mimi jamani nikiwa kama pilato tafathalini naomba nijue kinaga ubaga ufisadi wa lowasa maana bado sijaona realy kosa lake naomba mniweke sawa taratiibu bila jazba

Nani akuweke sawa, jiweke sawa mwenyewe ndani ya kichwa chako.......
 
Back
Top Bottom