Love melted before my eyes

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,758
14,687
Hii ni story ya throw backs!

Kwasababu ni ndefu sana na wabongo mnapenda kulia lia nikirusha waya mrefu, basi nafupisha!

Badala ya kuanza na mwaka 2008 naruka mpaka mwaka 2014 hadi 2017

Enjoy

Beige:

Baada ya kupigwa na maisha, mambo hayaendi, mambo machungu, mambo magumu, mambo yamesimama,nikikwambia ni sheeedah

Kwa malalamiko yake yeye mwenyewe anajiongelea rohoni

Nimemaliza chuo UK, nimerudi nimetafuta kazi weee lakini wapi! Utadhani nina gundu! Mzee wangu anajiandaa kustaafu, tangu mwaka 2010 mpaka 2014 sijaitwa hata sehemu 1 kwa interview
Nikaamua kwenda kujisomea masters, nikamaliza nikarudi tena Tz, pamenunaa, kweli bongo sio pamchezo mchezo.


Nikajua mzee wangu kuajiriwa kwake kwa miaka mingi nitapata connection hata kwa marafiki zake lakini waaapi! Kila mtu amenuna! Hakuna cha msaada kwa mjomba wala shangazi wala best friends

Basi najikaliaga tu ndani naangalia tv nikaamua kufanya angalau vibiashara, weee! Kama nimetikisa kuzimu! Biashara haiendi
nimeuza nyanya, nimesambaza dagaa maofisin kwenye mabenki na majumbani na nyumba za ibada, nguo za kike na kiume za mitumba nimeuza, mtoto wa UK nimechooookaaa yani nikaona Mungu kaenda likizo kulala! Maana sio kwa kupauka huku! Utadhani nimeshushwa Mbinguni kuja duniani kuhubiri injili! Jesoooooos Christ Mungu jaman nihurumie Abeg.


Nilikuwa na ki bwana changu ki boyfriend nilikipata UK, yeye akawa ameshapata kazi, akawa ananipetipeti elfu 20, elfu10, laki 2 inategemea na mwezi ulivyowaka kwake. Lkn me sikuridhika na ile hali, japo naishi na wazazi lakini bado asee, wazazi hawawezi kuku- support hela kiila siku, Hakuna kitu kinasumbua kama kukaa nyumbani miaka 4 hauna kazi, hauingizi pesa, hauingizi shilingi, me mtoto wa kike, ninamahitaji yangu,nikijiangalia ni mtu wa maendeleo, napeeeenda maendeleo, nina akili ya maisha, nimefanya biashara zote zimekataaa, sasa nimebakia nawaza sijui nimelogwaaa au?!

Kwakweli kama kuombewa nimeombewa sana tu, hakuna mtu anaetoa sadaka kama mimi, sijui 1st fruit (malimbuko), sijui zaka (thithe) hata siibi, sadaka za kila j2 nipo, michango ya kanisani na ahidi ikifika siku ya tukio kulipa sina hata sumni, basi Mungu ananiona ananisamehe, nikaacha mchezo wa kuahidi kanisani. Maana sina chanzo cha kuniingizia pesa mjini!

Yani ukiniangalia mimi.Beige wa UK sio Beige wa Dar

Kukawa na reunion ya watoto tuliosoma UK, tunajijua sie, tulivyo na swaga za kufa mtu!

Nikashindwa kwenda ila natamani
Wakarusha whatsapp sherehe ilivyobamba, wakaandika tumekumiss Beige, bila wewe shughuli haikunoga kiviiile, uuuwi nikamshukuru Mungu maana ningeenda na tenge langu pale ingekuwa noumer! Niliuzaga nguo zangu zooote za UK wakati nauza nguo za mitumba, nikabakiwa na nguo za kibongo, sikuweza hata ku attend reunion.


Mzee akastaafu bwana hapo ndo niliijua kuzimu inafananaje. Maisha ya shida, hapa nilipo nina CV 10 za aina tofauti tofauti, nimesha apply kazi elfu 8 lakini sijaitwa interview hata 1, dah Mungu jaman Mbona unanionea?!
Maisha yangu ni kuchat whatsapp na kuforwad sms za kuchekesha


Biashara zote ziligoma, nimeuza mpaka vitenge wapi, kwanza watu wanakopaaaa, jamani wabongo wanakooopaaa! Kulipa sasa ni sheedah! nimeanzisha blog wapi, yani utadhani kuna shetani ametumwa akae tu na mimi benet aniharibie

To make a long story short, rlshp yangu na yule boyfriend ikawa a-mess, tulianza from scratch! Lakini alipokaa juu kwenye high horse, akaniona me kama mavi, nikamfumania fumu, kiruuu, na mdada m1, ambae nilikuwa na suspect, yeleuuuwi nilichanganyikiwa, rlshp ya miaka 8, mwanaume anakutupa nje kisa hauna kazi, hela, nililala home kama kichaa, naliaaaa.
Sio kama sikuwa na wanaume waliokuwa wananipenda, wanataka kunioa lkn nilikuwa zuzu enuf kuwakataa, nilikuwa very faithfull na rlshp yangu, nikaliaaaaaaa, liaaaaaa, jamaani nililiaaaaa, mamangu mzazi halali alijua ntajiuaaaaaa, nikawa kama nimechanganyikiwaaaa, asee Mungu tu na Mama yangu ndio wanajua, kupotezewa miaka 8 ya mahusiano ni mbayaaaaa, nikakaa mwaka mzima nalia, natukana, nimechanganyikiwaaa, naliaaaaa, dada zangu wanapiga simu wako UK, CANADA wamesikia nimetendwaaa, wananiambia we told u soooo, fanya mpango ukuje ukae hukuuu, mama anawaambia hapaanaaa, huyu ndo namtegemeeaaaa, ndo kila kitu hapa ndani, mwacheni akae na mimi


KUPATA MWENDELEZO WA HADITHI HII BONYEZA LINK HIII MAPENZI YA KWELI YANAUMA - .
 
Waaooww money penny welcoomee back. Ila waombe basi wahusika waishushe MMU,huku imejificha.

Najipa ajira kukufanyia kampeni za story moja LIKES 10 na kitu.

emmyta njoo huku ufatilie story nzuri.
 
Beige:

Baada ya kupigwa na maisha, mambo hayaendi, mambo machungu, mambo magumu, mambo yamesimama,nikikwambia ni sheeedah

Kwa malalamiko yake yeye mwenyewe anajiongelea rohoni

Nimemaliza chuo UK, nimerudi nimetafuta kazi weee lakini wapi! Utadhani nina gundu! Mzee wangu anajiandaa kustaafu, tangu mwaka 2010 mpaka 2014 sijaitwa hata sehemu 1 kwa interview
Nikaamua kwenda kujisomea masters, nikamaliza nikarudi tena Tz, pamenunaa, kweli bongo sio pamchezo mchezo.

Nikajua mzee wangu kuajiriwa kwake kwa miaka mingi nitapata connection hata kwa marafiki zake lakini waaapi! Kila mtu amenuna! Hakuna cha msaada kwa mjomba wala shangazi wala best friends

Basi najikaliaga tu ndani naangalia tv nikaamua kufanya angalau vibiashara, weee! Kama nimetikisa kuzimu! Biashara haiendi
nimeuza nyanya, nimesambaza dagaa maofisin kwenye mabenki na majumbani na nyumba za ibada, nguo za kike na kiume za mitumba nimeuza, mtoto wa UK nimechooookaaa yani nikaona Mungu kaenda likizo kulala! Maana sio kwa kupauka huku!
Utadhani nimeshushwa Mbinguni kuja duniani kuhubiri injili! Jesoooooos Christ Mungu jaman nihurumie Abeg

Nilikuwa na ki bwana changu ki boyfriend nilikipata UK, yeye akawa ameshapata kazi, akawa ananipetipeti elfu 20, elfu10, laki 2 inategemea na mwezi ulivyowaka kwake. Lkn me sikuridhika na ile hali, japo naishi na wazazi lakini bado asee, wazazi hawawezi kuku- support hela kiila siku, Hakuna kitu kinasumbua kama kukaa nyumbani miaka 4 hauna kazi, hauingizi pesa, hauingizi shilingi, me mtoto wa kike, ninamahitaji yangu,nikijiangalia ni mtu wa maendeleo, napeeeenda maendeleo, nina akili ya maisha, nimefanya biashara zote zimekataaa, sasa nimebakia nawaza sijui nimelogwaaa au?!

Kwakweli kama kuombewa nimeombewa sana tu, hakuna mtu anaetoa sadaka kama mimi, sijui 1st fruit (malimbuko), sijui zaka (thithe) hata siibi, sadaka za kila j2 nipo, michango ya kanisani na ahidi ikifika siku ya tukio kulipa sina hata sumni, basi Mungu ananiona ananisamehe, nikaacha mchezo wa kuahidi kanisani. Maana sina chanzo cha kuniingizia pesa mjini!

Yani ukiniangalia mimi.Beige wa UK sio Beige wa Dar

Kukawa na reunion ya watoto tuliosoma UK, tunajijua sie, tulivyo na swaga za kufa mtu!

Nikashindwa kwenda ila natamani
Wakarusha whatsapp sherehe ilivyobamba, wakaandika tumekumiss Beige, bila wewe shughuli haikunoga kiviiile, uuuwi nikamshukuru Mungu maana ningeenda na tenge langu pale ingekuwa noumer! Niliuzaga nguo zangu zooote za UK wakati nauza nguo za mitumba, nikabakiwa na nguo za kibongo, sikuweza hata ku attend reunion
Mzee akastaafu bwana hapo ndo niliijua kuzimu inafananaje. Maisha ya shida, hapa nilipo nina CV 10 za aina tofauti tofauti, nimesha apply kazi elfu 8 lakini sijaitwa interview hata 1, dah Mungu jaman Mbona unanionea?!
Maisha yangu ni kuchat whatsapp na kuforwad sms za kuchekesha

Biashara zote ziligoma, nimeuza mpaka vitenge wapi, kwanza watu wanakopaaaa, jamani wabongo wanakooopaaa! Kulipa sasa ni sheedah! nimeanzisha blog wapi, yani utadhani kuna shetani ametumwa akae tu na mimi benet aniharibie

To make a long story short, rlshp yangu na yule boyfriend ikawa a-mess, tulianza from scratch! Lakini alipokaa juu kwenye high horse, akaniona me kama mavi, nikamfumania fumu, kiruuu, na mdada m1, ambae nilikuwa na suspect, yeleuuuwi nilichanganyikiwa, rlshp ya miaka 8, mwanaume anakutupa nje kisa hauna kazi, hela, nililala home kama kichaa, naliaaaa.
Sio kama sikuwa na wanaume waliokuwa wananipenda, wanataka kunioa lkn nilikuwa zuzu enuf kuwakataa, nilikuwa very faithfull na rlshp yangu, nikaliaaaaaaa, liaaaaaa, jamaani nililiaaaaa, mamangu mzazi halali alijua ntajiuaaaaaa, nikawa kama nimechanganyikiwaaaa, asee Mungu tu na Mama yangu ndio wanajua, kupotezewa miaka 8 ya mahusiano ni mbayaaaaa, nikakaa mwaka mzima nalia, natukana, nimechanganyikiwaaa, naliaaaaa, dada zangu wanapiga simu wako UK, CANADA wamesikia nimetendwaaa, wananiambia we told u soooo, fanya mpango ukuje ukae hukuuu, mama anawaambia hapaanaaa, huyu ndo namtegemeeaaaa, ndo kila kitu hapa ndani, mwacheni akae na mimi

ITAENDELEA SAA 10 JIONI
Story nzuri jamani, SAA 10:07 sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom