strootboy
Member
- Nov 28, 2015
- 49
- 40
Wewe ni mwanaume, miaka 24, mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa pili. Una mrembo mwanamke ambye mnaamini mnapendana sana.
Mmekuwa kwenye uhusiano for more than 2 years. Siku zimeenda akajiunga na chuo ingawaje siyo chuo kikuu.
After some time, akazoea chuo akamake new friends na mambo mengi. Kakutana na kijana chuoni si wakaanza mambo. Ukimuuliza anasema ni just a friend. Baadaye unagundua wanapendana sana. Humwambii unajua. At the end u decide to walk away.
Mrembo anaomba muwe friends. Anadai Mungu hakupanga muwe pamoja, sijui hamwendani na bla bla nyingi. What would you do friends?
Mmekuwa kwenye uhusiano for more than 2 years. Siku zimeenda akajiunga na chuo ingawaje siyo chuo kikuu.
After some time, akazoea chuo akamake new friends na mambo mengi. Kakutana na kijana chuoni si wakaanza mambo. Ukimuuliza anasema ni just a friend. Baadaye unagundua wanapendana sana. Humwambii unajua. At the end u decide to walk away.
Mrembo anaomba muwe friends. Anadai Mungu hakupanga muwe pamoja, sijui hamwendani na bla bla nyingi. What would you do friends?