The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,946
Hii ni balaa.Inatokea lakini sometimes
ujue kupenda mtu ni jambo linatokea ghafla sana
ujue haijalishi kuwa mmekutana wapi.popote pale yani.
ujue wakati mwingine hata hisia zinaweza kusafirishwa kwa mtandao
hii ni hatari sana
ujue hata wale wababe kama sisi tuliosema hatuwezi kupenda tunakamatika kirahisi sana
tena kirahisi mno
sijui ikoje hii
Aisee Mungu ni fundi kinoma.Manake sio kwa mambo hizi.
Yani kazi haziendi kabisa.Mtu unatamani upae muda huo huo ukamuone mchuchu
sasa mbaya zaidi pale ambapo mchuchu anaonekana kuwa bize.daaaah.Wallah unaweza kuwaza mengi sana.Ujue sometimes unaweza hata kudanja.
haya mambo si mchezo chalii angu.asikwambie mtu
Humu JF kuna visu nyie acheni tu.Yaani kuna watoto ukimwona unadhani hata huwa haendi toi
ni noma aisee.
Hadi kamanda nimedakwa.Hii ni danger.
Hongera kwako mama.You are the best of all
We dada aisee ni hatari.
ujue kupenda mtu ni jambo linatokea ghafla sana
ujue haijalishi kuwa mmekutana wapi.popote pale yani.
ujue wakati mwingine hata hisia zinaweza kusafirishwa kwa mtandao
hii ni hatari sana
ujue hata wale wababe kama sisi tuliosema hatuwezi kupenda tunakamatika kirahisi sana
tena kirahisi mno
sijui ikoje hii
Aisee Mungu ni fundi kinoma.Manake sio kwa mambo hizi.
Yani kazi haziendi kabisa.Mtu unatamani upae muda huo huo ukamuone mchuchu
sasa mbaya zaidi pale ambapo mchuchu anaonekana kuwa bize.daaaah.Wallah unaweza kuwaza mengi sana.Ujue sometimes unaweza hata kudanja.
haya mambo si mchezo chalii angu.asikwambie mtu
Humu JF kuna visu nyie acheni tu.Yaani kuna watoto ukimwona unadhani hata huwa haendi toi
ni noma aisee.
Hadi kamanda nimedakwa.Hii ni danger.
Hongera kwako mama.You are the best of all
We dada aisee ni hatari.