SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,062
- 1,136
Wadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.
Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.
NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.
Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.
NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.