Lotion/Mafuta ya kupakaa kwa mwanaume sehemu zenye baridi

SPINE

JF-Expert Member
Dec 11, 2017
1,062
1,136
Wadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.

Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.

NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.
 
Wadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.

Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.

NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.
Johnson baby jelly
 
Wadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.

Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.

NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.
Lanolin,Emu oil,Goat milk cream/lotion, unaweza pia kuongeza glycerin kwenye lotion unayotumia sasa hivi.
 
Back
Top Bottom