Lost laptop - please help.!!

mja

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
310
64
Wana jf
juzi nilimpa mtu lift ktk gari, akanichapa laptop, yaani aliitoa katika begi akachikichia, sasa najua inaweza ikaangukia kwa yeyote, naomba ukiiona in toshiba t2550, serial number 76033856q ni pm, ninachohitaji ni data za hiyo laptop, nikiweza pata hata hard disk tu, nitashukuru, ni pm , na nitakujulisha namna ya mimi kuwasiliana na wewe, please be sure ninachohitaji ni data na si kingine, zawadi nitatoa, nzuri tuuuu.

Please heeeelp
 
hahhahhaha

hii forum ina vituko sana

Pole sana mkubwa ila nimejikuata nacheka sana baada ya kusoma post yako.

Kwa nini usiweke kwenye matangazo madogo madogo.

  • Je umeripoti polisi?
Narudia kukupa Pole lakini huo ni uzembe unampa mu lifti usiyemjua
 
hahhahhaha

hii forum ina vituko sana

Pole sana mkubwa ila nimejikuata nacheka sana baada ya kusoma post yako.

Kwa nini usiweke kwenye matangazo madogo madogo.

  • Je umeripoti polisi?
Narudia kukupa Pole lakini huo ni uzembe unampa mu lifti usiyemjua

usincheke ndugu yangu, tunajifunza kutokana na makosa, nimesharipotu polisi
 
hahhahhaha

hii forum ina vituko sana

Pole sana mkubwa ila nimejikuata nacheka sana baada ya kusoma post yako.

Kwa nini usiweke kwenye matangazo madogo madogo.


  • Je umeripoti polisi?

Narudia kukupa Pole lakini huo ni uzembe unampa mu lifti usiyemjua

mkuu jamani tuwe huruma na wenzetu tujaribu kuchukuliana hilo jambo linampata yeyeto me niliwakuchukuliwa cm na mtu ninayemfahamu na nilimpa lift natupanae kwenye gari ila alizima ckuweza kumsachi.

mkuu pole sana natumaini taarifa zimefika kama ilikuwa na password lazima itatembea kwa mafundi utapewa taarifa
 
Wana jf
juzi nilimpa mtu lift ktk gari, akanichapa laptop, yaani aliitoa katika begi akachikichia, sasa najua inaweza ikaangukia kwa yeyote, naomba ukiiona in toshiba t2550, serial number 76033856q ni pm, ninachohitaji ni data za hiyo laptop, nikiweza pata hata hard disk tu, nitashukuru, ni pm , na nitakujulisha namna ya mimi kuwasiliana na wewe, please be sure ninachohitaji ni data na si kingine, zawadi nitatoa, nzuri tuuuu.

Please heeeelp
Mkuu pole sana, Mkoa gani?
 
Kuwakomesha hawa wezi ni kma gari yako ni 5 doors basi ile milango ya seat ya katikati unaipiga child lock - haitafunguka kutokea ndani; halafu unapandisha vioo kiasi kwamba hawezi kutoa mkono kwa nje na kufungua mlango - baada ya kupandisha kioo/ vioo unavipiga lock na vyenyewe kwa kutumia master power window. Halafu unatumia rear view mirror mara kwa mara ili kuona nini kinaendelea hapo nyuma yako. Toa lifti kwa unayemjua tu, usiyemjua big no - awe mwanamke, mwanaume, mtoto, mzee ni NO. akitaka lifti asubiri aombe kwenye msafara wa JK.
 
Kuwakomesha hawa wezi ni kma gari yako ni 5 doors basi ile milango ya seat ya katikati unaipiga child lock - haitafunguka kutokea ndani; halafu unapandisha vioo kiasi kwamba hawezi kutoa mkono kwa nje na kufungua mlango - baada ya kupandisha kioo/ vioo unavipiga lock na vyenyewe kwa kutumia master power window. Halafu unatumia rear view mirror mara kwa mara ili kuona nini kinaendelea hapo nyuma yako. Toa lifti kwa unayemjua tu, usiyemjua big no - awe mwanamke, mwanaume, mtoto, mzee ni NO. akitaka lifti asubiri aombe kwenye msafara wa JK.

nimejifunza ckuizi na maneno nishazoea jamaa anaringa na kigari chake ata lift atoi
 
mkuu jamani tuwe huruma na wenzetu tujaribu kuchukuliana hilo jambo linampata yeyeto me niliwakuchukuliwa cm na mtu ninayemfahamu na nilimpa lift natupanae kwenye gari ila alizima ckuweza kumsachi.

mkuu pole sana natumaini taarifa zimefika kama ilikuwa na password lazima itatembea kwa mafundi utapewa taarifa

Drphone unaona nimempa pole lakini pamoja na kuumpa pole ni ukweli kuna % ya uzembe.



Tatizo kwanza unampa mtu lifti usiyemjua
Pili Risk kubwa zaidi una kitu cha thamani na kinabeka kirahisi.

Mja jaribu kufanya hivi

Kuna jamaa mwananyamala yeye ulikuwa ukiibiwa kitu cha electronic ukienda kwake unakipata u unapta taarifa kiko wapi. Lakini sababu hiyo imeibiwa vingunti sidhani kama inaweza kufmfikia huyo jamaa. Na huyo jamaa sijui kama bado yupo.

Kama una rafiki na polisi jaribu kuepeleza maeneo ya vinguti mtu anayeuza vitu vya wizi. Usiende polisi kiofisi. tafuta mshikaji anayemjua polisi mitaa hiyo.
 
Drphone unaona nimempa pole lakini pamoja na kuumpa pole ni ukweli kuna % ya uzembe.



Tatizo kwanza unampa mtu lifti usiyemjua
Pili Risk kubwa zaidi una kitu cha thamani na kinabeka kirahisi.

Mja jaribu kufanya hivi

Kuna jamaa mwananyamala yeye ulikuwa ukiibiwa kitu cha electronic ukienda kwake unakipata u unapta taarifa kiko wapi. Lakini sababu hiyo imeibiwa vingunti sidhani kama inaweza kufmfikia huyo jamaa. Na huyo jamaa sijui kama bado yupo.

Kama una rafiki na polisi jaribu kuepeleza maeneo ya vinguti mtu anayeuza vitu vya wizi. Usiende polisi kiofisi. tafuta mshikaji anayemjua polisi mitaa hiyo.

nikweli kabisa kunapolice wanajua vbaka wote
 
Duh...hata mimi nilishampa mtu lift siti ya nyuma akashuka na laptop yangu kiana...Be Caeful with your Valuables ukimpa mtu lift!!
 
Sioo tu vibaka hata watu ambao sio vibka lakini wanauziwa vitu na vibaka.

naunga mkono hoja mkuu nilishapata msaada wa aina hyo one day shemeji yangu aliingizwa mjini na wale matapeli wa almasi na wakamla 1.5m lakini tulizipata bila msaada wa police
 
naunga mkono hoja mkuu nilishapata msaada wa aina hyo one day shemeji yangu aliingizwa mjini na wale matapeli wa almasi na wakamla 1.5m lakini tulizipata bila msaada wa police

Yah kuripoti polisi nimuhimu lakini ni formality tu . Hakuna cha zaidi watakachofanya. Sana sana wakipata taarifa unakuwa umewasaidia kujua wamtafute nani walambe 10% yao.

Hope mja atafanikiwa kujua japo hiyo laptop itakuwa inacheza anga gani za dar
 
Pole sana mkuu.kweli kama kuna pwd unaweza kuipata kupitia kwa mafundi.lakini je kama na yeye ni member hapa jf? Siatakuwa ameshajua nini umepanga na nini afanye ili asije angukia mikononi mwa police?
 
Yah kuripoti polisi nimuhimu lakini ni formality tu . Hakuna cha zaidi watakachofanya. Sana sana wakipata taarifa unakuwa umewasaidia kujua wamtafute nani walambe 10% yao.

Hope mja atafanikiwa kujua japo hiyo laptop itakuwa inacheza anga gani za dar
dr. Upo sawa kwel huko polis nikutoa repot tu. Tena bahati mbaya hiyo ishu imetokea dar labda afadhar ingekuwa huku kwetu kahama mji ni mdogo.
 
Pole sana mkuu.kweli kama kuna pwd unaweza kuipata kupitia kwa mafundi.lakini je kama na yeye ni member hapa jf? Siatakuwa ameshajua nini umepanga na nini afanye ili asije angukia mikononi mwa police?
 
mie ndugu yangu mja, Laptop simu nikiwa alone kwenye gari no lift, no nini...maana watu siku hizi wanalipa hadi intrance fee ya airport na wanaingia na mabeg utadhani wameingia nchini toka safari, wanakuja kwako eti wanataka lift halafu ndani ya hilo bag mkuu hamna kitu......
 
mie ndugu yangu mja, Laptop simu nikiwa alone kwenye gari no lift, no nini...maana watu siku hizi wanalipa hadi intrance fee ya airport na wanaingia na mabeg utadhani wameingia nchini toka safari, wanakuja kwako eti wanataka lift halafu ndani ya hilo bag mkuu hamna kitu......

du hii kali mkuu dunia imebadilika usimwamini mtu kabisa yan
 
Back
Top Bottom