Lost in Translation!

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
I wrote this piece almost 2 years ago. It still holds its value the only thing I would have added was Ufisadi.

Lakini I am sticking to the core theme, Taifa being Lost in Transition, hence Translation!

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Rev. Kishoka[/FONT]

icon_posticon.gif
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Posted - May 13 2006 : 12:37:17 PM[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Waungwana,[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Is Tanzania Lost?[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]In 1967, Azimio la Arusha created the Siasa za Ujamaa na Kujitegemea. In addition everything became public property.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Then came Vijiji vya Ujamaa, Operesheni Maduka, Azimio la Musoma, Azimio la Iringa and so many political ideologies that shifted our thinking into become socialist if not communists.The Government through Chama (TANU/ASP then CCM) made sure that there is creation of equality (level field) that focused on providing the basic necessity to Wananchi at almost free of charge.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]With Ujamaa, we created a welfare state, rebuking Kodi ya Kichwa ya Mkoloni, created subsidies in everything so as to easen the pangs of Ukoloni na Ubepari.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]As a result, we created a foundation of dependency on public assistance, grants, loans, bail out which evolved into bureaucracy, rampant corruption, poor governance and un accountable society (government and its citizens). Ujamaa had good intentions of distributiong services to all its citizens and to create a foundation that will enforce the Kujitegemea.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]However, we were overtaken by extension of welfare services into our society that has solidify kutegemea na Kuombaomba.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Rather than focusing on improving our productivity so as to increase our revenues (GDP, GNP) that could have empower our citizens to have better incomes and be participants to our nations growth, we spent so much money on Freebies.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Free Education, Medical Care, Lunch & Transportation subsidies, Agricututral, Mining, Fishing and so many othe subsidies in the name of Kusaidia Wananchi wajikimu na Ukali wa Maisha. With such structure, we created society that is hesitant to foot expenses, society that is running away from self evaluation or holding itself accountable and everything became unionised.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]NUTA, JUWATA, OTTU and such were scattered in every work force and no one could be held accountable and be fired without fear of Mwajiri Kupelekwa JUWATA and Labour Courts. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Nepotism and Cronysim grew at a speed of light, corporations increasing number of workless employees by thousands. Bleeding these companies and institution everything to last penny while compensating its employees with Salaries, pension benefits, free medical allowances, free lunch,uniform, transportation and housing (housing, fuel and car for mid to senior level employees).[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]In rural areas, Umasikini strengthened its muscles since no priority was set to empower effectivelly 80% of our population that lived in these areas. Kilimo cha jembe la mkono, became a culture. Instead of creating farmers, we maintained the framework left by Kabaila Mkoloni of peasants, who focuses on subsistance economy.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Our Schools continued to flood with pupils & students while there was no money to fund them effectivelly and we still continued to provide free education. Same will be said on health care industry. The few Hospitali and zahanati that were left by Mkoloni continued to over stretch themselves with few qualified medical experts.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]All these facts were taking place while our population was growing tremendously. From the day we got our Independence December 9th 1961, our population has grown by more than 40%, but we have maintained the same infrustructure that was left by Mkoloni with minimal upgrades and improvements.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Then came 1985 when we opened our doors to SAP (Structural Adjustment Programs), a remedy from World Bank and IMF. Free market economy and trade liberalization was the New Gospel, while our society maintained its old fundamentals philosophies of Ujamma na Kujitegemea and Government Welfare.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]In 1992, Azimio la Zanzibar put to death Ujamaa na Kujitegemea and so was Azimio la Arusha. Njia kuu za kuzalisha mali na uchumi hazitamilikiwa tena na Serikali na watu wake. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Here we declared that anyone who dares to come and run our failing production is free to do that and will be warmly welcomed with Misamaha ya Kodi na Ushuru.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]We have now been experiencing "New Wave" of economy and prduction that is tailored to Capitalism/Imperialism (Ubepari).However, our society (Wananchi) are still living in 1980's when everything was being provided by Serikali.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Where did we go wrong through this transition from Socialists of Petite Bourgeoisie to Grande Bourgeois? [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Did the policy makers forget to create a transition time frame and structure so that our society (Taifa) could go through motions and absorb the New Eperience, re-birth of Ubepari na Ukabaila?[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]How long will it take for us to make these adjustments and start beliving and living like capitalists and be accountable like capitalists?[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Naomba kutoa hoja![/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Amani Iwe Nanyi, [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Revolutionary Right Reverend Kishoka[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Mzee Mbegu[/FONT]





icon_posticon.gif
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Posted - May 17 2006 : 12:51:42 AM[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]
quote: Originally posted by Rev. Kishoka
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Where did we go wrong through this transition from Socialists of Petite Bourgeoisie to Grande Bourgeois? [/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Did the policy makers forget to create a transition time frame and structure so that our society (Taifa) could go through motions and absorb the New Eperience, re-birth of Ubepari na Ukabaila?[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]How long will it take for us to make these adjustments and start beliving and living like capitalists and be accountable like capitalists?[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Naomba kutoa hoja!
[/FONT]


We've definately made some tactical errors because the transition could have been handled better. We seem to have leaped too quickly from state economy to private one without preparing majority of the people for the change. All of a sudden the govt relinguished most of its duties sometimes with no alternative agency picking it up. Part of this was due to the intense pressure from the IMF/World Bank for the govt to disengage in all economic activities. Partly it was also because the govt had stretched itself too thinly after many years of mismanagement. Therefore drastic cuts had to be made. After many years of austerity, it is a good thing that the govt has began to fight back the foreign policies and demand to reintroduced some of these programs again, example UPE and agricultural subsidies.

On the other hand, some of the things took place occured despite a lot of warnings and disatisfaction from the people. Take privatization as an example. Majority of reasonable people were not completely against privatization; they just wanted the process to be prioritized and favor capable locals, they wanted the profit making firms to be maintained or sold with majority of the shares left to the public, they wanted locals to have bigger role in the management of these companies, they wanted the properties being privatized to fetch market values, not sold off at throw-away prices etc. A lot of unreasonable things took place. That is why we are now scrambling to renegotiate mining contracts etc.

It therefore appears that even though the effect of some of these trends were lamented and predicted by many, govt policy decisions (whether our own or influenced by foreign experts) were unfortunately ignored no matter how much people complained or questioned. To a certain level the foreign investors were embraced and protected more than the local middle-class or the downtrodden. What we can hope is that the new trend we are seeing with the new administration to rectify such mistakes will bear fruit. Adopting radical Chavez like "Bolivarian Revolution" or Evo Morales principles of "neoliberalism" won't be a panacea for us but at the same time we shouldn't continue this way. What we need is "free market economy with social responsibility". Even if we don't have capital and technical abilities that must come from abroad, we shouldn't forget the central tenets of Ujamaa, that real prosperity will come when people become major players in their country's economic activities.

[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Simbiko haisimbuki ila kwa msukosuko[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Rev. Kishoka[/FONT]

icon_posticon.gif
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Posted - May 20 2006 : 10:49:44 AM[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Mzee Mbegu,[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Mtikila used to say Saa ya Ukombozi imewadia. Wakati wa ukombozi ni Sasa![/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]I wonder if among our technocrats and politicians there is a movement to revolutionize our country towards fiscal policies and responsibilities and encouraging and promoting active participation from Wazawa.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]One would have hoped that Maliyamkono, Mukandara, Wangwe, Shivji, Warioba, Rutabanzibwa, Kipokola, Mengi,Mnyika, Musiba and others to be the energy and force behind our Perestoika and Glasnost that will mend Azimio la Zanzibar & Privatisation, unify Azimio la Arusha, Musoma, Iringa, Vijiji vya Ujamaa and Ujamaa na Kujitegemea to create a social and political stucture that will give us a levarage to be active and a force in Globalization (global economy)and move towards developing country from being permanent UnderDeveloped![/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]I honestly do not see such movement coming from the generation that is currently running our country.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]I believe our generation should be active in pushing for new revolution that will involve Wananchi from grassroots (botttom up)and with that we will become a force in the region.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]I would like for one day Tanzania to have an economical command in Africa that is guided with fiscal and responsible politicians.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]I can still hear that old song "Mwenyekiti, Mwalimu Nyerere baba, Imarisha ukombozi wa Afrika, Uhuru wetu hauwezi kuwa dhati mpaka Afrika yote imekuwa huru" [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]I wish we were in such position the way we were in late 70s to mid 80s.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Amani Iwe Nanyi, [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Revolutionary Right Reverend Kishoka[/FONT]
 
Why don't you go run for political office so you can effectively effect the change you wish to happen..?
 
Nyani Ngabu,
Why don't you go run for political office so you can effectively effect the change you wish to happen..?

Time... time wil tell... Tik..tak.. tik..tak!
Rev Kishoka,
U know what, I think there might be a good chance for the re birth of Ujamaa Party!...following Mwalimu nyayo...I can sense winning election big time.
 
..rev,

..niliposoma hii nikakumbuka article ya jenerali wiki hii.

..that got me thinking about ujamaa!

..its not like sipendi ubepari au la,nadhani uchumi wowote unaotaka kukua vizuri hii leo lazima uwe na some sort of free market dynamics. huku kwetu tumeuvamia huu mwelekeo bila kujua kwamba unahitaji kusimamiwa na kuangaliwa kwa karibu ili kusiwe na abuses of the system [free market economy].

..tukija kwenye upande mwingine,uchumi wa rural areas hauwezi endelea bila some principles za ujamaa. hawa watu wanahitaji kushirikiana na kushirikishwa pia.

..i believe,in some areas lazima serikali iwe na the upper hand na hapa naongelea big public investments ambazo mostly huwa na faida za kiuchumi zaidi kuliko kibiashara.
 
Nyani Ngabu,


Time... time wil tell... Tik..tak.. tik..tak!
Rev Kishoka,
U know what, I think there might be a good chance for the re birth of Ujamaa Party!...following Mwalimu nyayo...I can sense winning election big time.

Mkandara:

Kuna kitabu The Fate of Africa: A History of Fifty Years of independence by Martin Meredith.

Nakuomba kajipatie kopi na usome kuhusu huo ujamaa. Katika kitabu mwandishi anaonyesha bayana kuwa baada ya kuanza Ujamaa, uzalishaji katika sekta zote muhimu ulikufa. Katika kipindi hicho-hicho Tanzania ilipokea misaada ya zaidi ya billioni 6 USD kutoka kwa wafahisani mbalimbali. Kwa mtaji huu mwandishi anasema mafanikio yaliotokana katika kipindi cha ujamaa hayakutokana na mafanikio ya siasa zenyewe bali ni matokeo ya misaada ya kutoka nje kitu ambacho nakubaliana naye kwa asilimia 110.
 
Nyani,

Jiandae kukomba kadi nambari 3 ya chama changu kipya cha Social Democrats (DP) ambacho kitaanza kazi rasmi Januari 1 2011.

NIkirudi kwenye hii hoja on serious note, Viongozi wetu walituacha solemba walipofikia uamuzi wa kukimbilia mfumo wa soko huria au ubepari.

Si kwamba kuingia kwenye mfumo huo kulikuwa na ubaya, bali makosa yale yale yaliyotumika wakati tulipoingia Ujamaa walitumika tulipodandia mfumo mpya.

Jamii na Taifa yalipewa hotuba laini na kuambiwa sasa hivi kila mtu na lwake na viongozi wanaweza jipatia mali za ziada.

Hapakuwa na kampeni maalum ya kushirikisha na kuwaanda wananchi ili wawe tayari kuingia katika huu mfumo mpya wa "changia mwenyewe"!

Mtanzania bado anaimba nyimbo za kijamaa, anaishi maisha ya kijamaa, lakini Serikali yake inajiendesha na kufanya mambo kwa kutumia mfumo mpya. Migongano inayoanza jitokeza katika jamii kama huu wa sasa UDSM au kule Buzwagi, ni matokeo ya Serikali kujifanyia mambo kwa kigezo cha dhamana ya kuongoza na hivyo kuburuza kila mtu.

Ikiwa tunakiri tulifanya kosa hili la kuburuza wananchi 1967, 1974-76 na hata katika utekelezaji wa mambo mengine ya muhimu kwa Taif na jamii, basi ni tofauti gani iliyopo iliyotokea 1992 mpaka leo?

Tunakimbilia kuuza kila kitu, viongozi wetu wanakimbilia kujitajirisha kwa njia fupi na za haraka, lakini mwananchi wa kawaida anaambiwa "kaza misuli, gurudumu la maendeleo ni zito kupanda mlima"!

Si kwamba natetea ujamaa au kusema ujamaa ni mfumo bora, bali ni kuwa wananchi wamepotezwa kwa makusudi ili waendelee kushangaa feri huku watawala ambao ni watendaji wa serikali na makuwadi wao kwenye mashirika wakiendelea kujijengea temi, koo na falme ndogo ndogo za kitajiri hivyo kumfanya huyu mwananchi aendelee kutegemea serikali milele na kuishia kuwa masikini wa kubuhu huku akitukanwa kuwa ni mvivu na mwenye wivu wa kike!

Natamani siku mwananchi huyu ageuke na kuwa na wivu wa kiume na kumfuata mtesi wake!
 
Mkandara:

Kuna kitabu The Fate of Africa: A History of Fifty Years of independence by Martin Meredith.

Nakuomba kajipatie kopi na usome kuhusu huo ujamaa. Katika kitabu mwandishi anaonyesha bayana kuwa baada ya kuanza Ujamaa, uzalishaji katika sekta zote muhimu ulikufa. Katika kipindi hicho-hicho Tanzania ilipokea misaada ya zaidi ya billioni 6 USD kutoka kwa wafahisani mbalimbali. Kwa mtaji huu mwandishi anasema mafanikio yaliotokana katika kipindi cha ujamaa hayakutokana na mafanikio ya siasa zenyewe bali ni matokeo ya misaada ya kutoka nje kitu ambacho nakubaliana naye kwa asilimia 110.

..bin maryam,

..ujamaa kama ujamaa hauna tatizo. utekelezaji wake na interpretations ndo tatizo!

..kwa mfano,nini kilitufanya tuamini kwamba tunaweza taifisha mali za wazungu na kuziendesha vizuri wakati soko wanalijua wao na liko kwao!. mbaya zaidi mitambo na tekenolojia ni yao na wanaizalisha wao!that was poor planning and it's the one thing we keep on doing over and over!

..lakini,watu maskini wasio na mtaji mkubwa,wakijiunga kwa hiari na kufanya miradi ya maendeleo kwa msaada wa serikali,huo ni ujamaa! wanaunganisha nguvu kwa faida ya maendeleo yao!

..ujamaa hata huko ulaya upo! and don't get me wrong,i'm not talking about marx's socialism or communism.
 
..bin maryam,

..ujamaa kama ujamaa hauna tatizo. utekelezaji wake na interpretations ndo tatizo!

..kwa mfano,nini kilitufanya tuamini kwamba tunaweza taifisha mali za wazungu na kuziendesha vizuri wakati soko wanalijua wao na liko kwao!. mbaya zaidi mitambo na tekenolojia ni yao na wanaizalisha wao!that was poor planning and it's the one thing we keep on doing over and over!

..lakini,watu maskini wasio na mtaji mkubwa,wakijiunga kwa hiari na kufanya miradi ya maendeleo kwa msaada wa serikali,huo ni ujamaa! wanaunganisha nguvu kwa faida ya maendeleo yao!

..ujamaa hata huko ulaya upo! and don't get me wrong,i'm not talking about marx's socialism or communism.

Dar Si Lamu:

Wazungu hata wakifuata udikteta bado wataendelea tu. Jamii zao zimeshavuka viwango fulani vya maarifa na mitaji na kuwafanywa kuwa na luxury ya kuchagua siasa gani wafuate.

Kwa upande wetu, tunajaribu kukopi vya wenzetu hili vikubalike katika mazingira yetu na bado tunachemsha na matokeo yake ni kuwa na serikali kubwa zenye watumishi wasiotoa mchango wowote kwa jamii na kuzidi kutegemea misaada kutoka nje.
 
Kosa letu ni kukataa kukubali makosa yaliyopita, kujirekebisha na kuchanganua yale tuliyoshindwa kwa kuyarekebisha na kuyapa mtazamo mpya.

Sisi tunakimbilia kuanzisha kitu kipya kabisa bila kurekebisha kasoro ya lile la awali!
 
Wenye wajibu wa kuwaelimisha wananchi ili tuweze kufanya mabadiliko ni akina Prof. Mkandala, ambaye watoto wa milimani wamemshinda unafikiri ataweza kuwaelimisha wananchi mil.38, nafkiri we have a long way to go, kuakikisha watanzania wanaelewa tumefanya wapi makosa na kuyalekebisha. Tunatakiwa kuangalia tulijikwaa wapi na kuakikisha tunavyoanza upya hakuna kukanyaga hapo tena.
 
Wenye wajibu wa kuwaelimisha wananchi ili tuweze kufanya mabadiliko ni akina Prof. Mkandala, ambaye watoto wa milimani wamemshinda unafikiri ataweza kuwaelimisha wananchi mil.38, nafkiri we have a long way to go, kuakikisha watanzania wanaelewa tumefanya wapi makosa na kuyalekebisha. Tunatakiwa kuangalia tulijikwaa wapi na kuakikisha tunavyoanza upya hakuna kukanyaga hapo tena.

Jamco,

Hali ya sasa wajibu ni wa kila mtu, si Serikali pekee au "wanene" fulani ambao ni viongozi.

Ndio maana Jambo Forum ni kinara katika kuelimishana na kubadilishana mawazo ingawa wengine wanachukulia kuwa JF ni mahali pa watu wenye hasira na Serikali.

Tumechoka kusubiri na kukumbushwa na Nyani Ngabu kuwa ndivyo tulivyo, tunaanza wote kushiriki katika ujenzi wa Taifa kwa hali, mali na fikra.
 
Kosa letu ni kukataa kukubali makosa yaliyopita, kujirekebisha na kuchanganua yale tuliyoshindwa kwa kuyarekebisha na kuyapa mtazamo mpya.

Sisi tunakimbilia kuanzisha kitu kipya kabisa bila kurekebisha kasoro ya lile la awali!

..na hiyo yote yatokana na uvivu na kung'ang'ania mambo yasiyokuwa na faida dhahiri kwetu!

..jambo likiwa gumu tunalihepa na kukimbilia linaloonekana rahisi!kama hii misaada toka nje. wakati tulihitajika kufanya kazi ngumu ya kukuza mapato yetu wenyewe!na tena ya muhimu ni haya ya ndani!
 
..na hiyo yote yatokana na uvivu na kung'ang'ania mambo yasiyokuwa na faida dhahiri kwetu!

..jambo likiwa gumu tunalihepa na kukimbilia linaloonekana rahisi!kama hii misaada toka nje. wakati tulihitajika kufanya kazi ngumu ya kukuza mapato yetu wenyewe!na tena ya muhimu ni haya ya ndani!

Umefika wakati wa kuwabana viongozi wetu wakati wanagombea watuambie kabisa wanategemea nini wakati wa uongozi wao katika namba nafikiri itakuwa vizuri kuwakamata wapotoka madarakani na kuwaambia kuwa hawakutimiza walichokisema, mfano JK tutamuuliza siku zake za mwisho atuambie hizo ajira mil. 1 ziko wapi atupe figure sio makisio.

Kampeni za wenzetu unaona kabisa hata mwelekeo wa budget ya serikali husika kwa miaka watakayokuwa madarakani ikoje maana wanasema wataongeza nini na kupunguza nini kwa namba.
 
Umefika wakati wa kuwabana viongozi wetu wakati wanagombea watuambie kabisa wanategemea nini wakati wa uongozi wao katika namba nafikiri itakuwa vizuri kuwakamata wapotoka madarakani na kuwaambia kuwa hawakutimiza walichokisema, mfano JK tutamuuliza siku zake za mwisho atuambie hizo ajira mil. 1 ziko wapi atupe figure sio makisio.

..huko ndiko tunakoelekea. hii "dhambi" ya bunge kufichua maovu inatapakaa taratibu kwa wananchi. watu hawana illusions tena!

Kampeni za wenzetu unaona kabisa hata mwelekeo wa budget ya serikali husika kwa miaka watakayokuwa madarakani ikoje maana wanasema wataongeza nini na kupunguza nini kwa namba.

..na tutakapoanza kuuliza hayo ndio tanzania itakuwa huru. wakati wa ukombozi ni sasa!
 
Natamani sana siku Mkuu wa nchi anafanya mahojiano na Waandishi wa habari aulizwe ni lini Tanzania itaacha kutegemea 50% ya bajeti yake kutegemea fedha za wafadhili? NI lini Tanzania itaacha kuwa Matonya? NI lini Serikali itakaza mkanda na kupunga matumizi na kulenga mgao wa bajeti kuelekea katika maendeleo?
 
Natamani sana siku Mkuu wa nchi anafanya mahojiano na Waandishi wa habari aulizwe ni lini Tanzania itaacha kutegemea 50% ya bajeti yake kutegemea fedha za wafadhili? NI lini Tanzania itaacha kuwa Matonya? NI lini Serikali itakaza mkanda na kupunga matumizi na kulenga mgao wa bajeti kuelekea katika maendeleo?

Mkuu ili linawezekana kinachotakiwa ni nia ya kweli ya kushughulikia watu wasio waaminifu serikalini, resources ni nyingi sana ukianzia na mali asili, madini, na subortage kwenye tuviwanda twetu tulivyonavyo, Rushwa inasababisha serikali inakosa mapato mengi sana, kama juhudi zinafanywa na kuakikisha kuwa sehemu zote hizi zinachangia tunaweza kuendesha budget yetu wenyewe.
 
Natamani sana siku Mkuu wa nchi anafanya mahojiano na Waandishi wa habari aulizwe ni lini Tanzania itaacha kutegemea 50% ya bajeti yake kutegemea fedha za wafadhili? NI lini Tanzania itaacha kuwa Matonya? NI lini Serikali itakaza mkanda na kupunga matumizi na kulenga mgao wa bajeti kuelekea katika maendeleo?

..jibu la swali hili liko wazi. atasema "hivi sasa tunajitahidi kuongeza mapato yetu ili kupunguza utegemezi,kwani si vizuri kutegemea sana wafadhili. wakati mwingine hawatimizi ahadi zao. kwahiyo,suala hilo tayari linafanyiwa kazi"

..kama namwona vile,akitoa hilo jibu. infact,naisikia sauti yake masikioni!
 
Mkuu ili linawezekana kinachotakiwa ni nia ya kweli ya kushughulikia watu wasio waaminifu serikalini, resources ni nyingi sana ukianzia na mali asili, madini, na subortage kwenye tuviwanda twetu tulivyonavyo, Rushwa inasababisha serikali inakosa mapato mengi sana, kama juhudi zinafanywa na kuakikisha kuwa sehemu zote hizi zinachangia tunaweza kuendesha budget yetu wenyewe.

Jamco,

Tukianza kumbugudhi mkuu wa kaya kila siku na kumkera kuhoji ni lini tutaendela, labda ataamka na kufanya halaiki ya nguvu kwa askari miavuli wake na watu tutaanza kuona matokeo.

Tusipombugudhi kila siku, yeye atakaa mkao wa kula na kuhisi kila kitu ni mswano na kuendelea kulonga Hamsindile Hamnoga!
 
..jibu la swali hili liko wazi. atasema "hivi sasa tunajitahidi kuongeza mapato yetu ili kupunguza utegemezi,kwani si vizuri kutegemea sana wafadhili. wakati mwingine hawatimizi ahadi zao. kwahiyo,suala hilo tayari linafanyiwa kazi"

..kama namwona vile,akitoa hilo jibu. infact,naisikia sauti yake masikioni!

Dar Si Lamu:

Maamuzi ya kupunguza matumizi kwanza yatahitaji kubadilisha mfumo mzima wa utawala kwa kupunguza idadi ya wilaya, majimbo ya ubunge, mikoa na nafasi nyingi za kazi. Sidhani kama kuna viongozi wa kisiasa watakaokubali kuchukua hatua hizo.
 
Back
Top Bottom