mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
1.Ukienda kuchukua loss report Polis wanaelwkeza watu kwenye stationary wanazozijua wao...in reference kwa Arusha ukiienda Central wanakuambia uende stationary inayoitwa Mlimani|Binafsi nilijua ni wao tu wana athourity ya kutoa loss report nikafika nikakuta foleni kubwa mnoo huku walicharg shilling 3500 kwa kila mtu,nikasema wacha nisonge stationary nyingine nikakuta wanafanya na nilikua mwnyewe tu nikajiuliza ni kwann polisi wanaelekeza watu sehemu moja tu.
2.Baada yakupata control number ya malipo na kulipia unapaswa kurudi polisi ili wacomfirm wanadai hela ya vocha kwa kisingizo cha kwamba simu zao hazina bundle na hawawezi kuconfirm malipo
Je utaratibu rasmi na halali ukoje ?maana ni changamoto
2.Baada yakupata control number ya malipo na kulipia unapaswa kurudi polisi ili wacomfirm wanadai hela ya vocha kwa kisingizo cha kwamba simu zao hazina bundle na hawawezi kuconfirm malipo
Je utaratibu rasmi na halali ukoje ?maana ni changamoto