N nndondo JF-Expert Member Feb 1, 2010 1,251 895 Jun 11, 2013 #1 Watanzania waajabu sana yaani hata baada ya foleni kupungua bado wanaanzisha yao kwa kusimam8sha magari wakishangaa moto
Watanzania waajabu sana yaani hata baada ya foleni kupungua bado wanaanzisha yao kwa kusimam8sha magari wakishangaa moto
Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Jun 11, 2013 #2 Ngona na yao moto ukamate. Ni lori la mafuta au la cement mkuu? Vibaka wamepona maana kwa hali ya maisha basi hali kama nii ni nitoke vipi.
Ngona na yao moto ukamate. Ni lori la mafuta au la cement mkuu? Vibaka wamepona maana kwa hali ya maisha basi hali kama nii ni nitoke vipi.
Mshobaa JF-Expert Member Apr 7, 2013 1,676 590 Jun 11, 2013 #3 Hebu mkuu tupe habari iliyokamilika mbona hujaeleweka?
ZionGate JF-Expert Member Oct 17, 2012 6,345 2,953 Jun 11, 2013 #5 Nipo temeke mkuu nakuja na extinguisher..
chaUkucha JF-Expert Member May 28, 2012 3,382 1,208 Jun 11, 2013 #6 mbona hata ubalozi wa USA ulivyolipuliwa wabongo waliwahi kwenda kuona badala ya kukimbia sijaona cha ajabu huenda ni waokoaji!
mbona hata ubalozi wa USA ulivyolipuliwa wabongo waliwahi kwenda kuona badala ya kukimbia sijaona cha ajabu huenda ni waokoaji!
B Bonge JF-Expert Member Aug 29, 2007 1,118 876 Jun 11, 2013 #7 Ni scania, lori ya mchanga. Foleni sasa kisa watu wanangalia gari ikiungua.